Msaada tutani: Mbinu za kumdai Pisi kali pesa yako

Msaada tutani: Mbinu za kumdai Pisi kali pesa yako

mpasta

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
919
Reaction score
2,004
Niende moja kwa moja kwenye mada:

Ofisini kuna Pisi kali moja Mama SAMIA Intake(Ajira mpya), sasa kuna Workmate mmoja , bado hajaoa, kaanza kumfukuzia mdogo mdogo. Last week bana kapewa kadi ya mchango wa harusi na yule Pisi kali dadake anaolewa hivyo anaomba mchango, Singo elfu 70, Dabo 120.

Sasa jamaa kwa mbwembwe zake Jtatu akaomba akaunti namba ya CRDB ya Pisi kali ili amrushie kwa simu kwenye akaunti mchango elfu 70. Mambo ya mitandao tena karusha mara ya kwanza 70 ikaonyesha kama pesa haijafika kwa mlengwa.

Karudia tena kurusha, tahamaki karusha laki 1 na elfu 40, ina maana 70*2.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. PISI KALI haraka haraka kajibu text ndogo yenye kimombo "Thanks A lot Buddy, ubarikiwe, mzigo umefika"

Jamaa kutwa nzima kajiinamia tu hana raha, akicheki tarehe ndio kwanza tarehe 13/06 Mama SAMIA bado kabisa kutoa Salary na kumfuata Pisi kali kumwambia arudishe 70 ya ziada anahofia kujitoa kwenye ushindani wa NANI ZAIDI akalikosa Jimbo bure kwa kuonekana bahili....

Je atumie mbinu gani kuipata 70 yake maana ipo kwenye mahesabu yake ya bajeti ya mwezi huu..Tunaomba wakuu wa medani za kivita mtupe mbinu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Niende moja kwa moja kwenye mada:

Ofisini kuna Pisi kali moja Mama SAMIA Intake(Ajira mpya), sasa kuna Workmate mmoja , bado hajaoa, kaanza kumfukuzia mdogo mdogo. Last week bana kapewa kadi ya mchango wa harusi na yule Pisi kali dadake anaolewa hivyo anaomba mchango, Singo elfu 70, Dabo 120. Sasa jamaa kwa mbwembwe zake Jtatu akaomba akaunti namba ya CRDB ya Pisi kali ili amrushie kwa simu kwenye akaunti mchango elfu 70. Mambo ya mitandao tena karusha mara ya kwanza 70 ikaonyesha kama pesa haijafika kwa mlengwa. Karudia tena kurusha, tahamaki karusha laki 1 na elfu 40, ina maana 70*2.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. PISI KALI haraka haraka kajibu text ndogo yenye kimombo "Thanks A lot Buddy, ubarikiwe, mzigo umefika"

Jamaa kutwa nzima kajiinamia tu hana raha, akicheki tarehe ndio kwanza tarehe 13/06 Mama SAMIA bado kabisa kutoa Salary na kumfuata Pisi kali kumwambia arudishe 70 ya ziada anahofia kujitoa kwenye ushindani wa NANI ZAIDI akalikosa Jimbo bure kwa kuonekana bahili....
Je atumie mbinu gani kuipata 70 yake maana ipo kwenye mahesabu yake ya bajeti ya mwezi huu..Tunaomba wakuu wa medani za kivita mtupe mbinu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ata mm ishantokea
 
Vikao vya wanaume mkiitwa hamtokei,, Shauri yenu..

Apige simu na amwambie kuwa nimekosea nimetuma mara mbili... Rudisha hio moja..
Nini kigumu hapo.???? anadhani akikausha ndio demu atamuona bingwa?? Shenzi..

Nakuhakikishia hio ndio Safari ya UMASIKINI imeanza,,, ni muda tu ndio utasema..

Vijana cheni UJINGA...

Be a Man, Stay Taliban
 
Iliwahi kunitokea job, kuna pisi tunafanya nayo kazi, ilikua inapenda kuwachekea chekea ovyo workmates wa kiume halafu kila workmate anaemtongoza akawa anaambulia mtoso.

Muhuni nikawa namletea ukauzu ingawa kimtindo nilikua naimezea mate akawa anajiuliza kwann simshobokei. Kila akijaribu kuleta ukaribu naweka ngumu. Siku ya siku akavizia sina client akaingia ofisini kwangu yuko, "samahani kaka kactus, mama amenibip hata sijui kuna shida gani na nimeishiwa salio naomba nitumie elfu 3 M-Pesa nijiunge kifurushi"..

Akataja namba yake nikamrushia, sasa kwa bahati mbaya badala ya kurusha 3000 nikajikuta nimerusha 30000.. Kikaondoka kina furaha hatari, baada ya nusu saa naangalia sms vizuri ndio nikashtuka nilizidisha ela..! Huyu binti mpaka hivi sasa hana ham hata ya kunisalimia maana nilimkazia sana mpaka akarudisha ile 27000 iliyozidi!!!

Note: Usiwe gentleman saaaana kwenye pesa ambayo unahisi ukiipoteza itakuharibia hesabu zako. Pisi zipo nyingi sana mitaani.
 
Wanawake wanaheshimu sana Mwanaume mwenye msimamo na anayejitambua. Mfate mwambie ulikusudia kutuma 70 akurejeshee hiyo iliyozidi.

Isitoshe, ingelikuwa ni mimi huo mchango nisingetoa. Maana mwenye harusi sijuani naye, na hanihusu kwa chochote..
 
Je atumie mbinu gani kuipata 70 yake maana ipo kwenye mahesabu yake ya bajeti ya mwezi huu..Tunaomba wakuu wa medani za kivita mtupe mbinu...
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Simple sana, atafute mtu hapo ofisini faster hata kwa Mkopo ajifanye kuwa kamlipia hio Moja. Then huyo mtu ndio amrejeshee hio 70,000. Mbona simple sana!?
 
Niende moja kwa moja kwenye mada:

Ofisini kuna Pisi kali moja Mama SAMIA Intake(Ajira mpya), sasa kuna Workmate mmoja , bado hajaoa, kaanza kumfukuzia mdogo mdogo. Last week bana kapewa kadi ya mchango wa harusi na yule Pisi kali dadake anaolewa hivyo anaomba mchango, Singo elfu 70, Dabo 120.

Sasa jamaa kwa mbwembwe zake Jtatu akaomba akaunti namba ya CRDB ya Pisi kali ili amrushie kwa simu kwenye akaunti mchango elfu 70. Mambo ya mitandao tena karusha mara ya kwanza 70 ikaonyesha kama pesa haijafika kwa mlengwa.

Karudia tena kurusha, tahamaki karusha laki 1 na elfu 40, ina maana 70*2.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. PISI KALI haraka haraka kajibu text ndogo yenye kimombo "Thanks A lot Buddy, ubarikiwe, mzigo umefika"

Jamaa kutwa nzima kajiinamia tu hana raha, akicheki tarehe ndio kwanza tarehe 13/06 Mama SAMIA bado kabisa kutoa Salary na kumfuata Pisi kali kumwambia arudishe 70 ya ziada anahofia kujitoa kwenye ushindani wa NANI ZAIDI akalikosa Jimbo bure kwa kuonekana bahili....

Je atumie mbinu gani kuipata 70 yake maana ipo kwenye mahesabu yake ya bajeti ya mwezi huu..Tunaomba wakuu wa medani za kivita mtupe mbinu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kazi ipo wapi hapo...... Kwa hyo ake kusubul hadi mwezi uishe akipigwa njaa kisa katuma pesa kimakosa kisa anampenda.... Mhhhh Kazi hii si mchezo
 
Iliwahi kunitokea job, kuna pisi tunafanya nayo kazi, ilikua inapenda kuwachekea chekea ovyo workmates wa kiume halafu kila workmate anaemtongoza akawa anaambulia mtoso.

Muhuni nikawa namletea ukauzu ingawa kimtindo nilikua naimezea mate akawa anajiuliza kwann simshobokei. Kila akijaribu kuleta ukaribu naweka ngumu. Siku ya siku akavizia sina client akaingia ofisini kwangu yuko, "samahani kaka kactus, mama amenibip hata sijui kuna shida gani na nimeishiwa salio naomba nitumie elfu 3 M-Pesa nijiunge kifurushi"..

Akataja namba yake nikamrushia, sasa kwa bahati mbaya badala ya kurusha 3000 nikajikuta nimerusha 30000.. Kikaondoka kina furaha hatari, baada ya nusu saa naangalia sms vizuri ndio nikashtuka nilizidisha ela..! Huyu binti mpaka hivi sasa hana ham hata ya kunisalimia maana nilimkazia sana mpaka akarudisha ile 27000 iliyozidi!!!

Note: Usiwe gentleman saaaana kwenye pesa ambayo unahisi ukiipoteza itakuharibia hesabu zako. Pisi zipo nyingi sana mitaani.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]ulitisha mwana
 
Kazi ipo wapi hapo...... Kwa hyo ake kusubul hadi mwezi uishe akipigwa njaa kisa katuma pesa kimakosa kisa anampenda.... Mhhhh Kazi hii si mchezo
Usicheze na nguvu ya huba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Niende moja kwa moja kwenye mada:

Ofisini kuna Pisi kali moja Mama SAMIA Intake(Ajira mpya), sasa kuna Workmate mmoja , bado hajaoa, kaanza kumfukuzia mdogo mdogo. Last week bana kapewa kadi ya mchango wa harusi na yule Pisi kali dadake anaolewa hivyo anaomba mchango, Singo elfu 70, Dabo 120.

Sasa jamaa kwa mbwembwe zake Jtatu akaomba akaunti namba ya CRDB ya Pisi kali ili amrushie kwa simu kwenye akaunti mchango elfu 70. Mambo ya mitandao tena karusha mara ya kwanza 70 ikaonyesha kama pesa haijafika kwa mlengwa.

Karudia tena kurusha, tahamaki karusha laki 1 na elfu 40, ina maana 70*2.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. PISI KALI haraka haraka kajibu text ndogo yenye kimombo "Thanks A lot Buddy, ubarikiwe, mzigo umefika"

Jamaa kutwa nzima kajiinamia tu hana raha, akicheki tarehe ndio kwanza tarehe 13/06 Mama SAMIA bado kabisa kutoa Salary na kumfuata Pisi kali kumwambia arudishe 70 ya ziada anahofia kujitoa kwenye ushindani wa NANI ZAIDI akalikosa Jimbo bure kwa kuonekana bahili....

Je atumie mbinu gani kuipata 70 yake maana ipo kwenye mahesabu yake ya bajeti ya mwezi huu..Tunaomba wakuu wa medani za kivita mtupe mbinu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta, mchukue binti mpeleke bar, piga k vant 3, usimruhusu apige pombe yoyote ile! Aibu zikitokomea iambie ikupatie 70 yako ya ziada! Kisha iambie twende lodge ukanilipe ile 70 ya mwanzo!
 
Ni hatari aiseh alafu wakiingia kweny mahusiano baada ya muda jamaa anaanza kumuona dem hana maajabu
Kama umejua vile mpaka anaanza kukilaumu, uchumba una nguvu ya ajabu sana
 
Back
Top Bottom