Msaada tutani: Mbinu za kumdai Pisi kali pesa yako

Msaada tutani: Mbinu za kumdai Pisi kali pesa yako

Hii nayo inahitaji mbinu!!?...amchane moja mbili tatu..khaa
 
Vikao vya wanaume mkiitwa hamtokei,, Shauri yenu..

Apige simu na amwambie kuwa nimekosea nimetuma mara mbili... Rudisha hio moja..
Nini kigumu hapo.???? anadhani akikausha ndio demu atamuona bingwa?? Shenzi..

Nakuhakikishia hio ndio Safari ya UMASIKINI imeanza,,, ni muda tu ndio utasema..

Vijana cheni UJINGA...

Be a Man, Stay Taliban
Vijana wasikuizi wajinga wanaogopa kuonekana wabahili yani hanashindwa kumwambia nirudishie pesa nimetumia kimakosa
 
H
Niende moja kwa moja kwenye mada:

Ofisini kuna Pisi kali moja Mama SAMIA Intake(Ajira mpya), sasa kuna Workmate mmoja , bado hajaoa, kaanza kumfukuzia
Hapo si aende double na pisi kwenye iyo party
 
Omba kadi ya harusi baada ya wiki 3 au mwezi mpelekee achangie harusi iwe ya mkoa tofauti na mliopo
Akili mtu wangu[emoji848]
 
Niende moja kwa moja kwenye mada:

Ofisini kuna Pisi kali moja Mama SAMIA Intake(Ajira mpya), sasa kuna Workmate mmoja , bado hajaoa, kaanza kumfukuzia
Mpaka sasa ni kwamba umeshachemka. Ilitakiwa palepale ulipogundua umekosea urudishe muamala au umuambie kirahisi tu "aisee si nimekosea nikatuma mara mbili, nirudishie hiyo iliyozidi." Simple!

Sasa zimeshapita siku hata ukimwambia akurudishie leo kwanza kashazitumia. We kausha tu sasa. Ila mpaka hapo umeshajijengea mazingira magumu sana ya kuja kuitafuna hii pisi. Maana usidhani kwamba hiyo pisi haijui unaitaka, inajua sana sema kwa kitendo ulichofanya imeshakuweka kwenye kundi la watu wa. kuchunwa. Utapigwa vizinga mpaka ukome.
 
Back
Top Bottom