Sawa,. Lakini kama angekuwa anasikia raha asingelalamikaAkiachwa utamuoa wewe...??
mwache abembeleze kinunanuna chake ndo raha ya mapenzi
SawaNi sahihi kabisa.
Ingawa wote wakiwa manguli NDOA itajifia peupeeee.
Kama ameshaongea zaidi ya mara moja na makosa ni yale yale, yanajirudia kila leo yeye ampuuzie tu, asimfuatilie chochote. Atimize tu majukumu yake kama mke, mume kama ana akili kuna siku atashtuka mwenyewe.
Uzuri ana akili ya kukumbuka kutumia NDOM.
Muacheni atoke kwenye ndoa yake aje huku mtaani akutane na akina sisi madunga embe!..🤣Sawa,. Lakini kama angekuwa anasikia raha asingelalamika
Halafu mbona alishasema anataka kuvunja ndoa yake kwenye uzi wake uliopita
Hueleweki sasa,. Unataka abaki na ndoa au aachwe🚮Muacheni atoke kwenye ndoa yake aje huku mtaani akutane na akina sisi madunga embe!..🤣
Wewe ndo huelewi nyinyi msimshauri kuachana na ndoa yake afanye yeye maamuzi, ndo maana yangu!.Hueleweki sasa,. Unataka abaki na ndoa au aachwe🚮
Asa lengo la kuja kuandika hapa ni nini kama alitakiwa kufanya maamuzi mwenyeweWewe ndo huelewi nyinyi msimshauri kuachana na ndoa yake afanye yeye maamuzi, ndo maana yangu!.
Bora huyo mume wake anayenuna mwanaume mwingine anafanya kosa na akiambiwa na mkewe kwamba amekosea mke anachezea mkong'oto usio na mfano.
basi nenda kawaachanishe maana umeng'ang'ania!Asa lengo la kuja kuandika hapa ni nini kama alitakiwa kufanya maamuzi mwenyewe
Wewe ndio unakaza fuvu Nimetoa ushauri tu kama ambavyo yeye ameomba,. Soma comment yangu uielewe na sio kukurupuka🚮basi nenda kawaachanishe maana umeng'ang'ania!
Poleee mi wangu mdaa woote yupo busy na cm 24/7 ndoa bwana
Nimekununia lee si kwa vichambo hivi...😑Wewe ndio unakaza fuvu Nimetoa ushauri tu kama ambavyo yeye ameomba,. Soma comment yangu uielewe na sio kukurupuka🚮
NONSENSE ! Kwa akili Hizi mkeo Ana kazi sanaKama wewe ni mwanamke ni wajibu wako kujishusha mbele ya mumewe na kumuheshimu, unapata wapi ujasiri wa kumchunguza, kumkaripia na kumuuliza maswali mumeo? Kama mahitaji yote anakupa, anakuhudumia hata apo unapokaa ni kwa mumeo kwanini useme umemchoka? Kama vipi rudi kwenu kuna wanawake kibao mumeo atawaoa ukishaondoka usijione special
Wakati ulipokuwa mdogo hujui chochote kuhusu maisha. Baba yako alikuhangaika kuhudumia masuala yote yaliokuhusu wewe ulipokuwa mdogo. Je ulishawahi kumchunguza au kumkaripia baba yako alipokukosea? Kama jibu ni hapana. Basi mumeo ni kama baba yako mzazi
Kama kuna Alternative ways ya kuishi na species ya Namna hiiMaybe help me to understand,umesema ushamchoka si ndio?then unataka ushauriwe nini zaidi kama ushasema umemchoka?
Nina kipato Kizuri kabisa cha kuweza kujikimKama huwa unampa tendo muda wowote anaotaka, uko sahihi kumhukumu;ila kama wakati mwingine huwa unavisingizio na humpatii tendo kwa wakati, nakushauri vumilia, maisha yaendelee.
Huku nje kuna wanawake wengi sana wanatamani waingie kwenye ndoa na hawazipati, sababu ndoa imekuwa faraja kwa wanawake wasio na kazi au wenye vipato vidogo.
Kutuuliza wakati wewe ni mtu mzima na majibu unayo sio kututega ubongo kweli?.Niishi nae vp sasa Maana Nimechoka Mno .
Ata umfanyie nn cm ni kitu hawezi achaItakuwa hujafunzwa mashamsham...