Msaada Tutani ..Naomba Mnishauri

Msaada Tutani ..Naomba Mnishauri

Akiachwa utamuoa wewe...??
mwache abembeleze kinunanuna chake ndo raha ya mapenzi
Sawa,. Lakini kama angekuwa anasikia raha asingelalamika
Halafu mbona alishasema anataka kuvunja ndoa yake kwenye uzi wake uliopita
 
Ni sahihi kabisa.

Ingawa wote wakiwa manguli NDOA itajifia peupeeee.

Kama ameshaongea zaidi ya mara moja na makosa ni yale yale, yanajirudia kila leo yeye ampuuzie tu, asimfuatilie chochote. Atimize tu majukumu yake kama mke, mume kama ana akili kuna siku atashtuka mwenyewe.

Uzuri ana akili ya kukumbuka kutumia NDOM.
Sawa
 
Sawa,. Lakini kama angekuwa anasikia raha asingelalamika
Halafu mbona alishasema anataka kuvunja ndoa yake kwenye uzi wake uliopita
Muacheni atoke kwenye ndoa yake aje huku mtaani akutane na akina sisi madunga embe!..🤣
 
Kama wewe ni mwanamke ni wajibu wako kujishusha mbele ya mumewe na kumuheshimu, unapata wapi ujasiri wa kumchunguza, kumkaripia na kumuuliza maswali mumeo? Kama mahitaji yote anakupa, anakuhudumia hata apo unapokaa ni kwa mumeo kwanini useme umemchoka? Kama vipi rudi kwenu kuna wanawake kibao mumeo atawaoa ukishaondoka usijione special
 
Wakati ulipokuwa mdogo hujui chochote kuhusu maisha. Baba yako alikuhangaika kuhudumia masuala yote yaliokuhusu wewe ulipokuwa mdogo. Je ulishawahi kumchunguza au kumkaripia baba yako alipokukosea? Kama jibu ni hapana. Basi mumeo ni kama baba yako mzazi
 
Kama wewe ni mwanamke ni wajibu wako kujishusha mbele ya mumewe na kumuheshimu, unapata wapi ujasiri wa kumchunguza, kumkaripia na kumuuliza maswali mumeo? Kama mahitaji yote anakupa, anakuhudumia hata apo unapokaa ni kwa mumeo kwanini useme umemchoka? Kama vipi rudi kwenu kuna wanawake kibao mumeo atawaoa ukishaondoka usijione special
NONSENSE ! Kwa akili Hizi mkeo Ana kazi sana
 
Wakati ulipokuwa mdogo hujui chochote kuhusu maisha. Baba yako alikuhangaika kuhudumia masuala yote yaliokuhusu wewe ulipokuwa mdogo. Je ulishawahi kumchunguza au kumkaripia baba yako alipokukosea? Kama jibu ni hapana. Basi mumeo ni kama baba yako mzazi

Maybe help me to understand,umesema ushamchoka si ndio?then unataka ushauriwe nini zaidi kama ushasema umemchoka?
Kama kuna Alternative ways ya kuishi na species ya Namna hii
 
Kama huwa unampa tendo muda wowote anaotaka, uko sahihi kumhukumu;ila kama wakati mwingine huwa unavisingizio na humpatii tendo kwa wakati, nakushauri vumilia, maisha yaendelee.

Huku nje kuna wanawake wengi sana wanatamani waingie kwenye ndoa na hawazipati, sababu ndoa imekuwa faraja kwa wanawake wasio na kazi au wenye vipato vidogo.​
Nina kipato Kizuri kabisa cha kuweza kujikim
 
Back
Top Bottom