Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Na hili ndo tatizo..Nina kipato Kizuri kabisa cha kuweza kujikim
😂😂😂Bora huyo mume wake anayenuna mwanaume mwingine anafanya kosa na akiambiwa na mkewe kwamba amekosea mke anachezea mkong'oto usio na mfano.
NakaziaPiga chini huyo akanunie wazazi wake huko kwao.
..kama ulikuta used condoms, mheshimu sana huyo "my" wako, anajijali na anakujali sana!!Habari , Hope mko poa
Twende directly kwenye Mada. Hivi wanawake Especially Mlioolewa Mnaweza Vipi Kuishi na Mwanaume anayependa Kununa nuna ?
Binafsi Nimechoka sasa Mume wangu ni ile aina ya watu awe amefanya Kosa yeye au nimekosea mimi yeye solution ni Kununa. Au hii ni kawaida Kwa wanaume wote ?
Mimi Jukumu langu kila Kukiwa na ugomvi/ matatizo baina yetu Mimi Ndio huanza kutaka Yaishe Hata Kama yeye Ndio amenikosea . Kuna siku Nilikuta Condom zilizotumika kwenye gari nikamuuliza akasema et alimuazima gari Rafiki ake atumie so yeye hajui chochote . Nilipotaka maelezo ya kina maana Naona ananidanganya Et akaninunia Kwa Kua simuamini. Hiyo ni Sawa kweli ?
Kiukweli Nishamchoka Sanaa,kwanza sio muaminifu, Pili Ana play victim akati makosa ni yake anataka yeye Ndio ambembelezwe Kwa makosa yake . Niishi nae vp sasa Maana Nimechoka Mno .
Je, huwa unampa tendo mara ngapi kwa siku?Nina kipato Kizuri kabisa cha kuweza kujikim
Tatizo lao, hawatoi tendo kwa wakatiHuwa mnakutana wapi nyie watu aisee.
Kama ukeshamwambia mara kibao na habadiliki basi acha kulalamika, furaha yako haitegemei uwepo wa mumeo kila siku.
Ukiacha kusumbua kuhusu tabia yake basi yeye mwenyewe atabadilika. Hizo lawama zako yeye anaona unampangia maisha.
Si amefanya safely, ina maana mumewe angekuwa Dr/surgeon angefanyaje?, maana wanapata occupational accidents nyingi za kupata maambukiziUna used condom Bado unatembes nae? Fala wewe utakufa km sio Ngoma kihoro una kinyaa wewe? Njooo inbox
Ni ngori
Wa aina hii ni kama jimbo au serikali isiyotawalika ukishindana nayo lazima upotee.Na hili ndo tatizo..
Na ukweli ni kuwa una SAUTI kuliko mumeo na haya uliyoandika hapa ni kwa sababu jamaa anapuuza amri zako.
Sasa Kama unakipato kizuri ACHANA NAE.
Ata umfanyie nn cm ni kitu hawezi acha
Atakukula na akimaliza cm mkononi😀Jipitishe pitishe hapo mbele yake ukiwa "wizauti"...
Naombeni wajumbe mnipigie kura zenu za ndiyo ili niwe mfariji mkuu wa huyu mrembo. Kiukweli hastahili kabisa kupitia haya majaribu yoye kutoka kwa mume wake wa ndoa.Tafuta mchepuko...
Thread 'Baada ya Miaka 2, natamani Ndoa yangu ivunjike' Baada ya Miaka 2, natamani Ndoa yangu ivunjike
Nimeipenda hiiHao wa hivyo mnawatoleaga wapi?
Walisema ukitaka kuwa lonely we oa ua olewa..Poleee mi wangu mdaa woote yupo busy na cm 24/7 ndoa bwana