Msaada Tutani ..Naomba Mnishauri

Msaada Tutani ..Naomba Mnishauri

Huwa mnakutana wapi nyie watu aisee.

Kama ukeshamwambia mara kibao na habadiliki basi acha kulalamika, furaha yako haitegemei uwepo wa mumeo kila siku.

Ukiacha kusumbua kuhusu tabia yake basi yeye mwenyewe atabadilika. Hizo lawama zako yeye anaona unampangia maisha.
 
Habari , Hope mko poa

Twende directly kwenye Mada. Hivi wanawake Especially Mlioolewa Mnaweza Vipi Kuishi na Mwanaume anayependa Kununa nuna ?

Binafsi Nimechoka sasa Mume wangu ni ile aina ya watu awe amefanya Kosa yeye au nimekosea mimi yeye solution ni Kununa. Au hii ni kawaida Kwa wanaume wote ?
Mimi Jukumu langu kila Kukiwa na ugomvi/ matatizo baina yetu Mimi Ndio huanza kutaka Yaishe Hata Kama yeye Ndio amenikosea . Kuna siku Nilikuta Condom zilizotumika kwenye gari nikamuuliza akasema et alimuazima gari Rafiki ake atumie so yeye hajui chochote . Nilipotaka maelezo ya kina maana Naona ananidanganya Et akaninunia Kwa Kua simuamini. Hiyo ni Sawa kweli ?

Kiukweli Nishamchoka Sanaa,kwanza sio muaminifu, Pili Ana play victim akati makosa ni yake anataka yeye Ndio ambembelezwe Kwa makosa yake . Niishi nae vp sasa Maana Nimechoka Mno .
..kama ulikuta used condoms, mheshimu sana huyo "my" wako, anajijali na anakujali sana!!
 
Una used condom Bado unatembes nae? Fala wewe utakufa km sio Ngoma kihoro una kinyaa wewe? Njooo inbox
 
Huwa mnakutana wapi nyie watu aisee.

Kama ukeshamwambia mara kibao na habadiliki basi acha kulalamika, furaha yako haitegemei uwepo wa mumeo kila siku.

Ukiacha kusumbua kuhusu tabia yake basi yeye mwenyewe atabadilika. Hizo lawama zako yeye anaona unampangia maisha.
Tatizo lao, hawatoi tendo kwa wakati
 
Na hili ndo tatizo..
Na ukweli ni kuwa una SAUTI kuliko mumeo na haya uliyoandika hapa ni kwa sababu jamaa anapuuza amri zako.
Sasa Kama unakipato kizuri ACHANA NAE.
Wa aina hii ni kama jimbo au serikali isiyotawalika ukishindana nayo lazima upotee.
 
Je ni mtoto wa ngapi kwao? Wa kwanza au wa mwisho ndio zao.
Je kwao kuna wenzake wa kiume? Kama hamna, ndio hivyo.
Je akionywa na wakubwa zake ktk familia yao, hasa wazazi/walezi anasikia? Umewahi kuwashirikisha wakubwa zenu?
Note: Matatizo mengi ya ndoa zama hizi husababishwa na wazazi/walezi kudhani vijana wao wakioq/olewa wamemaliza kazi.
 
Back
Top Bottom