Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Huwa mnakutana wapi nyie watu aisee.
Kama ukeshamwambia mara kibao na habadiliki basi acha kulalamika, furaha yako haitegemei uwepo wa mumeo kila siku.
Ukiacha kusumbua kuhusu tabia yake basi yeye mwenyewe atabadilika. Hizo lawama zako yeye anaona unampangia maisha.
Kama ukeshamwambia mara kibao na habadiliki basi acha kulalamika, furaha yako haitegemei uwepo wa mumeo kila siku.
Ukiacha kusumbua kuhusu tabia yake basi yeye mwenyewe atabadilika. Hizo lawama zako yeye anaona unampangia maisha.