Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
PumbavKwaniaba mkuu....mfikishie karume msaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PumbavKwaniaba mkuu....mfikishie karume msaka
[emoji3]Kwaniaba mkuu....mfikishie karume msaka
Hapanaina cc2000¿ kama ndio jiunge na Uber mwanza, dodoma na Dar ina apply
ina zaidi... ya cc2000... ?Hapana
19. Kina zaidi... ya cc2000... ?
Duuuh! HatariKabebee maiti Gaita hospital. Utapiga mrungula.
Nashukuru sanaIpeleke Moro pale. Ule ruti za Moro to Dumila hadi Gairo.
Je ww upo moro ?Kabebee maiti Gaita hospital. Utapiga mrungula.
Nashukuru sana kwa mchango wako mkuu.Nenda kabadirishe mfumo wa fuel, badala ya kutumia mafuta kafunge mfumo wa Gas.
Baada ya hapo nenda ukaisajili iwe Uber/Bolts kwa Mikoa ya Dsm ama Arusha.
Ukifanya kazi kwa bidii utakuwa na miezi 18 hivi utakuwa umerejesha hela yako yote huku gari ikiendelea kuwa na muonekano wa kutochoka.
Maana huko Mikoani hali ya barabara sio nzuri kabisa Mkuu
Unawenyeji huko mkuu?Nenda kapige hela moshi-tarakea
Wenye uzoefu tafadhali mtusaidie hapaKuna kipindi jamaa yangu aliniambia wakati wa mavuno nipeleke gari kilwa huko kuna hela, ila sijawahi jaribu, labsa wenye uzoefu waseme
1900?19. K
Na point point hapo kama 1990 hv?1900?