The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,675
- 2,807
Wakuu,
Kwenye pita pita zangu, nimebahatika kupata pesa, nikaona sio mbaya na mimi ni ongeze foleni ya magari.
Kimsingi nimeshaanza mawasiliano na watu wa beforward, ila kuna mdau kanitonya hawa watu mara nyingi gari zao zinakuja zikiwa mbovu. Ni either shock up zimekufa au parts zingine.
Naombeni ushauri, Kama kuna ukweli katika hili.
Kwenye pita pita zangu, nimebahatika kupata pesa, nikaona sio mbaya na mimi ni ongeze foleni ya magari.
Kimsingi nimeshaanza mawasiliano na watu wa beforward, ila kuna mdau kanitonya hawa watu mara nyingi gari zao zinakuja zikiwa mbovu. Ni either shock up zimekufa au parts zingine.
Naombeni ushauri, Kama kuna ukweli katika hili.