Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,186
- 7,492
acha masihara mkuu!kilo!mkuu sio kweli kuwa red garnet ndio ina bei kuliko gemstone zote, green garnet iko juu mara nyingi sana ya hiyo red garnet,,,,,,,,,,, hizo red garnet ziko nyingi sana kule ruangwa-lindi na zinauzwa kwa kilo tu
abaakana! Mimi nilichokoza mada tu.sikuwa na uhakika wa kutosha.ila hata hivyo nilidhani madini haya ya red garnette yana thamani kubwa sana kumbe....!red garnet ipi hiyo mzee? Red garnet ninayoijua mimi kwa jina jingine inaitwa "almandite" ndugu yake na pyrope bei yake iko chini sana, na unaweza ukauziwa kilo 1 kwa bei ndogo sana-hata million 4 haifiki. Angalau rose/pink garnet in bei lakini bado siyo ya kutisha
aina ya garnet iliyo ghali sana inaitwa green garnet ambayo inapatika landanai na msitu wa tembo kule arusha.
acha masihara mkuu!kilo!
hivi hizi germstones zinatakiwa ziwe na thamani kiubwa kuliko madini kama almasi shaba na kadhalika au inakuwa je?mkuu unashangaa, hayo yanuzwa kwa kilo na sio jiwe mojamoja, hayana hiyo thamani uliyoambiwa au uliyonunulia,
biashara ya madini hasa gemstone, ni biashara hatari sana, kama hauna ujuzi nayo acha kabisa kuingia, hiyo biashara siku moja unaweza kujikuta ni tajiri sana na kesho ukawa ni maskini kabisa
Bei ya Tanzanite navyo uzagaa na kununuaView attachment 213871 mimi 1 gram single laki mbili mpaka 3 na nusu na inategemea na rangi na shape..kama unagram kuwanzia gram 5 na kuendelea ilioshikana rangi nzuri na shape nzuri bila tatizo kama viwembe yani mikatiko ndani ya jiwe(Tanzanite) bie yake ni nzuri sana kuwanzia 1.8m mpaka 2m per 1 gram
Bei za Ruby : Ruby zote zisizopitisha mwanga (cabochon), ruby nuts, Ruby in Zoisite, Tsavorite etc bei inaanzia dola 10 mpaka dola 500 kwa gram. Ruby yenye kuona, haina chenga, rangi nzuri (pigeon blood ) imekatwa au bado bei inaanzia dola 5,000 mpaka 25,000 kwa jiwe lisiozidi karati mbili. Kwa rough bei inaanzia $ 25000 kwa gram. Bei halisi inategemea na shape ya jiwe, colour, clearity na grade. Wewe una Ruby za aina gani?
Tanzania ina madini mengi na ya thamani kama: Ruby, saphire, emarald, diamond, alexandrite, Tanzanite, etc
bei ya madini inategemea na :hardness, size, colour, clearity, na kama yamekatwa na aina ya mkato e.g. brilliant, cushion, oval, table cut etc. Madini yenye bei kubwa kwa Tanzania ni Diamond ikifuatiwa na ruby, emarald, saphire, alexandrite na Tanzanite.
NB. Ruby zipo za aina tatu: red, rose na pink ruby. red ruby ndiyo ya ghali zaidi.
Hi!
ndugu wana jamvi hili
Naomba nitoeni kwenye kashimo haka, hivi ni madini gani Duniani yenye gharama kubwa
Ni madini gani yana bei kubwa yanayopatikana Tanzania
Madini aina ya Ruby ni madini ya aina gani na je ghalama yake ikoje kwa gram moja?
Msisahu kuniambia wapi kwa Dar maduka ya kununua madini?
Madini ghali ni alexandrite itakuwa...Nakumbuka nikiwa na miaka 15 enzi hizo tunduru inawika nilikuwa huko na mjomba wangu mmoja, ilisemekana kuna jamaa aliyapata na kuna mnunuzi mthailand wakati huo alikuwa hapa tz anaitwa tom mine alikuwa ga na ofisi Upanga ali shindwa fika offer mpaka kuna mzungu mmoja maarufu kama john almasi alikuja na private jet tz akaja linunua...na akatambaa