Superfly
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 985
- 2,066
Watu wana makasiriko aiseeAisee😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wana makasiriko aiseeAisee😁😁😁
nibarikie tunda mrembo tupate ka chalii ketu 😊Aisee😁😁😁
🐒nibarikie tunda mrembo tupate ka chalii ketu 😊
Dogo amepelekwa uvinza huyo muulize vizuri? Maana unafanana na genital herpes, kama siyo muulize shuleni walikula nini? Kama ni vya misaada ujue ndo hivo saiz kuna kampen ya kupunguza watu
Ibuprofen? Hahaha aisee hii elimu inawapoteza sana uko serious? Nyie wasomi ni wajinga sanaMpe ibuprofen ya watoto
Na pia home remedies ni nzuri zaidi
Asali, juice ya machungwa pia unaweza ukampaka mafuta ya Nazi
Wewe usie msomi hebu niambie ibuprofen ina kazi ganiIbuprofen? Hahaha aisee hii elimu inawapoteza sana uko serious? Nyie wasomi ni wajinga sana
Hii ni pain killer mkuu lakin tambua hivo vidude ni infection ya waduduWewe usie msomi hebu niambie ibuprofen ina kazi gani
Acha nikuache na hii ili ufute kauli yako
Tatizo lako unatumia lugha chafu bila kuwa na uhakika
Uwe na siku njema View attachment 3066869
😂😂😂😂Mnajua kutomba kuleahamjui
Ndio maana nikamwambia kama kumpunguzia maumivu kwanzaHii ni pain killer mkuu lakin tambua hivo vidude ni infection ya wadudu
Sawa mkuu ila hii elimu ina utapel mwingi sana yani mtoto wa form four anamtafta mtu amuungie account ya what's up au ya fb da! Huwa nachoka sanaNdio maana nikamwambia kama kumpunguzia maumivu kwanza
Ila wakati unajibu post jaribu kuwa na stara kwa wengine maana wengine hatuwezi kutukana kabisa
Jioni njema na ninatumaini alisikia ushauri wangu kwanza tiba baadae
Nenda hospitali
Wafuasi wa kiboko ya wachawi mshafikaYESU AMPONYE HUYU MTOTO UGONJWA HUU NI MBAYA