Habari Team
Poleni na majukumu, watoto wangu Wana Ugonjwa wa ngozi wanajikuna na kutokea vidonda na kuacha makovu meusi.
Nilifika hospital nikaambiwa na alegi waache kutumia ,mayai, nyama, maziwa na vitu vya sukari.
Niliacha kuwapa lakini bado watoto wanajikuna na kuacha makovu
Naombeni kujuzwa hata dawa za mitishamba ziwasaidie.
Asanteni
Chukuwa hii lakini badae usifanye kama unauza kwa watu yaani waambie bure kabisa kama mimi ninavyokwambie.
Tafuta mti wa mwarobaini mizizi yake
Tafuta mti wa mjohoro mizizi yake
Tafuta mbaazi mizizi yake huu unachimba mzizi asubuhi saa kumi na moja hakikisha usemezani na mtu au haupo katika siku zako kama ni kwanamke, vile vile hupaswi kuwa na jasho la kufanya mapenzi.
Tafuta mzugwa majani yake.
Chemsha kisha muogeshe mtoto/watoto asubuhi na jioni changanya na chumvi ya mawe.
usichanganye na maji mengine kabisa.
mwarobaini
Mjohoro
Mbaazi
Mzugwa
mpatie kikombe nusu kimoja kila siku usichanganye na chumvi ya mawe katika kuvywa.
Matumizi ni siku saba za mwanzo kisha unaacha siku saba nyingine haumpi.
Siku saba nyingine unampa siku saba nyingine unaacha
Siku saba nyingine unampa,hapo atakuwa kamaliza dozi.
Mana hiyo hutumika kwa mara tatu katika mfumo huo.
HIVYO NDIO NIJUAVYO TIBA HIYO.
Onyo😡 mimi sio mganga usinifate pm tafadhali 😂