Msaada: Ujuzi juu ya mawe haya ya vito(germstone)

 
1 mil tshs starting point.....kuna jamaa anayo blue sofaya,red ganite,na green! anataka nimpe hela aniachie mzigo but sijui A wala B za haya madude!! nipe details mkuu Excel

mkuu hii biashara inahitaji uzoefu wa kutosha,feasibility study ni muhimu kufanya,kwanza unataka kuuza rough au pure gemstone ujue hlo..
mambo ya muhimu mkuu angalia colour,clarity,shape,size nakushauri ucheck google pia jaribuu kuuliza watu wanaofanya hii biashara
NOTE:epuka matapeli
 
Last edited by a moderator:

Amen for that!
 

Rangi inatakiwa iweje? Shape pia inatakiwa iweje?
 
wacha kabisa kushika hayo mawe kama huyajui.utauziwa vyupa vya soda au changarawe .ukifika sokoni unaweza ukazimia.me ilinichukua zaidi ya miez3 kuisoma tu.lazima uwe na vifaa pia kama faiber na scala kwa vipimo vya awali.unaweza ni pm ukiitaji

Nita uzingatia ushauri wako! Nipe mbinu jinsi ya kujua jiwe la ukweli manually!!
 

Attachments

  • IMG-20150427-WA0000.jpg
    101.5 KB · Views: 114
  • IMG-20150430-WA0009.jpg
    256.3 KB · Views: 107
  • IMG-20150331-WA0009.jpg
    7.9 KB · Views: 102
  • IMG-20150318-WA0005.jpg
    68.9 KB · Views: 114
Hapo kuna Sunstone, kuna supphire ya kilosa, kuna ruby high caboshon ya singida, na kuna madini aina ya quartz
 
.. Chinga One formula kubwa ya biashara ya Madini ni kuyajua mawe (ujue kununua,) na ujue jinsi ya kuyauza ....period
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…