Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hongera kwa kuwa na moyo wa kusaidiana mkuu hata kwa mawazo[/QUOTE
hii biashara ni nzuri kam utakua na subira nayo.lazima uipe mda kuisoma na hapo pesa ztalika sana .lakin ukishaijua utaenjoy sana.
Mkuu kwa mocambique hiyo kitu ipo nje nje sana ila sasa useme ni issue ya kutojua nini unafanya