Acha ubishiAcha kueneza uongo,
Leta uthibitisho kuwa riba ni zaidi ya 15%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ubishiAcha kueneza uongo,
Leta uthibitisho kuwa riba ni zaidi ya 15%
Duh!! Kipengere hapoHauwezi kupata mkopo , mpaka umalize mkopo wa awali kwanza then ndio upewe mkopo mwingine ....
Wewe kama ni mtumishi wa umma nchini sidhani kama ungepingana na Mimi. Ila kwakua upon njee ya mchezo basi tuishie hapoAcha kueneza uongo,
Leta uthibitisho kuwa riba ni zaidi ya 15%
Hakuna hisabati za namna hiyo. Deni la mkopo wa elimu halina riba. Hivyo utakachopewa ndiyo utakacho rudisha.6% ya 30 ni 180,000×10yrs of payamement duration inakua 18m riba hiyo jumliisha na princple debt of 30m = 48m jumlasha na 2% ya inflation and debt collection ni 1.4 m totol debt payment 50m.........sasa hizo utaweza je kujiondoa kwenye umasikini ikianza ajira na deni la 50m.
Wewe unaushi nchi gani?Hakuna hisabati za namna hiyo. Deni la mkopo wa elimu halina riba. Hivyo utakachopewa ndiyo utakacho rudisha.
Mkuu hiyo tuition fee ya around 5M kwa government University ni ya chuo gani?Atapewa ,ila anaomba akikidhi vigezo why not.Ila jamani tuombe MUNGU atusaidie tusomeshe watoto wetu .Fedha ya mkopo anayokuja kukatwa huku makazini sio mchezo kwa kuwa interest yao si jui ni ya nchi gani .Saa nyingine ni zaidi ya bank. Emerging mtu alikopeshwa 5years(medicine) tuition fee tu kwa mwaka ni around 5m (Government university) so TZS 25M weka interest sio mchezo mpaka anamaliza internship na kuanza kazi hilo deni limefika 30m duu unaishia ujana kwa kulipa deni kwanza.Mungu nisaidie niweze kusomesha watoto wangu kwa kweli.
Sio wote watafadhiliwa kama ilivyo medicine ambayo wengine wanafadhiliwa na wengine ni mikopo.MTU ALIYE NYIKANI nimeambatanisha tangazo hapa .. Kiufupu huu ufadhili utawahusu watu mahususi wenye umri chini ya miaka 27, walio kwenye maisha duni, yatima, wanafunzi wanaochukua masomo ya sayansi & Tec, ualimu n.k , kujibu swali ni kwamba huo si mkopo bali ni ufadhili na ukitaka kujiendeleza ni juu yako ...
Kilichofutwa ni value retention fee yaani Ile riba baada ya kuchelewa kulipia ukisha hitimu.Mkuu hiyo tuition fee ya around 5M kwa government University ni ya chuo gani?
Tuition kwa MD naona inachezea kwenye 1.8M kwa mwaka.
Hiyo riba ya bodi si ilishafutwa? Hiyo interest unayoisema inatoka wapi mkuu?
Ukiwa vizuri kiuchumi hakuna haja ya kuomba bodi.
Nikuulize wewe maana Mimi nilikua mnufaika wa mkopo chuo kikuu, na ninarudisha kiasi nilichokipeshwa hakuna riba yoyote ileWewe unaushi nchi gani?
Kama ulikopeshwa milioni 9 utarudisha 9 hakuna zaidi ya hapo tusipotoshe umma. Huu si mkopo wa bank ni elimu na upo kwaajili ya kusaidia siyo kutengeneza faidaKilichofutwa ni value retention fee yaani Ile riba baada ya kuchelewa kulipia ukisha hitimu.
Hata processing fee siku hizi haipo?Kama ulikopeshwa milioni 9 utarudisha 9 hakuna zaidi ya hapo tusipotoshe umma. Huu si mkopo wa bank ni elimu na upo kwaajili ya kusaidia siyo kutengeneza faida
Yani gharama utakazoingia ni kipindi unafanya application ya kuomba na kiasi hakizidi 50. Ukipata basi utarudisha kile ulichotumia wakati wote wa masomo yako.Hata processing fee siku hizi haipo?
Mkuu shukurani sana Huu ushauri wako Ngoja niufanyie kazi. Maana Sina mzigo Mrefu mwaka huu tu ndo nahitimu Dip so ngoja nikomae tu nimalizie mwakani Mungu akijalia nitaombaKanuni ya loan board ni lazima angalau ulipe asilimia 25 ya mkopo uliosomea ili upate mwingine.
Kama una uwezo jisomeshe dip uombe mkopo degree sababu deni litakuwa kubwa sana ukianza kukopa diploma.
Utapewa ndio ila kwa ushaur jitahidi sana kuepuka hii mikopo kama uwezo wa kujisomesha upo hata kwa shida maana baadae ukimaliza na ukapata ajira utafuraia maisha kupita kiasiHabari Wana JamiiForums.
Samahani naomba kuuliza kuhusu hili tangazo la Mikopo ya Elimu ya Stashahada (Diploma) ambalo limetolewa na Loan board (HESLB).
Swali langu ni hivi ikitokea umepewa Mkopo wa Diploma ukasoma ukahitimu Alfu badae ukahitaji kuendelea na Elimu ya Juu (Degree), Je!! ukiomba Mkopo kwa ajili ya kusoma Elimu ya Juu utapewa au Mpaka Ulipe kwanza deni la Mkopo ambao uliutumia kwa Elimu ya Stashahada?
Naomba mnisaidie Kwa hili wakuu!! Maana najaribu kuwasiliana nao Simu hawapokei, mda mwingine namba haipatikani. Nisije nikajichanganya kwenye hili.
Natanguliza shukurani.
Okay Thanks Mkuu.Utapewa ndio ila kwa ushaur jitahidi sana kuepuka hii mikopo kama uwezo wa kujisomesha upo hata kwa shida maana baadae ukimaliza na ukapata ajira utafuraia maisha kupita kiasi
Mzee, Hii hesabu ni ya mwaka gani? Hakuna kitu cha hivi aiseeee6% ya 30 ni 180,000×10yrs of payamement duration inakua 18m riba hiyo jumliisha na princple debt of 30m = 48m jumlasha na 2% ya inflation and debt collection ni 1.4 m totol debt payment 50m.........sasa hizo utaweza je kujiondoa kwenye umasikini ikianza ajira na deni la 50m.
Interest imeondolewa muda sana mbona hakuna cha 6% wala 15% unalipa ulichokopeshwa .Atapewa ,ila anaomba akikidhi vigezo why not.Ila jamani tuombe MUNGU atusaidie tusomeshe watoto wetu .Fedha ya mkopo anayokuja kukatwa huku makazini sio mchezo kwa kuwa interest yao si jui ni ya nchi gani .Saa nyingine ni zaidi ya bank. Emerging mtu alikopeshwa 5years(medicine) tuition fee tu kwa mwaka ni around 5m (Government university) so TZS 25M weka interest sio mchezo mpaka anamaliza internship na kuanza kazi hilo deni limefika 30m duu unaishia ujana kwa kulipa deni kwanza.Mungu nisaidie niweze kusomesha watoto wangu kwa kweli.
Nashangazwa sana ni kwamba watu huwa hamfuatilii taarifa za habari ? Mkopo wa degree kwa sasa hakuna riba yeyote ile yaani utalipia kile ulichokopeshwa na hii imeanza mwaka 2020 rais samia suluhu alipoingia madarakani alifuta 6% ya value retension fee na heslb wakaondoa 15% ya penalty na hata wahitimu wa nyuma walifutiwa madeni ya riba .6% ya 30 ni 180,000×10yrs of payamement duration inakua 18m riba hiyo jumliisha na princple debt of 30m = 48m jumlasha na 2% ya inflation and debt collection ni 1.4 m totol debt payment 50m.........sasa hizo utaweza je kujiondoa kwenye umasikini ikianza ajira na deni la 50m.