Msaada: Ukipewa Mkopo wa kusoma Diploma ukahitimu. Je, utapewa na mkopo wa kusoma Degree (Elimu ya Juu)?

Msaada: Ukipewa Mkopo wa kusoma Diploma ukahitimu. Je, utapewa na mkopo wa kusoma Degree (Elimu ya Juu)?

Nashangazwa sana ni kwamba watu huwa hamfuatilii taarifa za habari ? Mkopo wa degree kwa sasa hakuna riba yeyote ile yaani utalipia kile ulichokopeshwa na hii imeanza mwaka 2020 rais samia suluhu alipoingia madarakani alifuta 6% ya value retension fee na heslb wakaondoa 15% ya penalty na hata wahitimu wa nyuma walifutiwa madeni ya riba .

Jaribu kuangalia videos zipo nyingi na hata articles za heslb pia zipo zinazoelezea riba kuondolewa.
Usiongee usichokijua.. tena uache kupotosha... tupo tuliomaliza kulipa miaka ya nyuma huko na hata hiyo tuliyolipa tulishawekewa cha juu nje ya kiasi kilichokopeshwa na mwaka jana tukabandikwa madeni mapya makubwa ambayo hayana justification yenye logic yoyote..

KAMA HAUJAFIKWA USIPOTOSHE WENZAKO WANAOPIGA HESABU ZAO NA HAWANA TAARIFA SAHIHI.. KAMA BY ANY CHANCE FAMILIA INA UWEZO WA KUSOMESHA KIJANA WAO NI VYEMA IKAACHANA KABISA NA MAMBO YA BODI YA MIKOPO
 
Habari Wana JamiiForums.

Samahani naomba kuuliza kuhusu hili tangazo la Mikopo ya Elimu ya Stashahada (Diploma) ambalo limetolewa na Loan board (HESLB).

Swali langu ni hivi ikitokea umepewa Mkopo wa Diploma ukasoma ukahitimu Alfu badae ukahitaji kuendelea na Elimu ya Juu (Degree), Je!! ukiomba Mkopo kwa ajili ya kusoma Elimu ya Juu utapewa au Mpaka Ulipe kwanza deni la Mkopo ambao uliutumia kwa Elimu ya Stashahada?

Naomba mnisaidie Kwa hili wakuu!! Maana najaribu kuwasiliana nao Simu hawapokei, mda mwingine namba haipatikani. Nisije nikajichanganya kwenye hili.

Natanguliza shukurani.
Kama una uwezo wa kulipa ada achana kabisa na mikopo.
 
Wakuu msaada sawali hivi iwapo mtu Anataka kuomba mkopo wa elimu ya juu alaf mzazi wake mmoja amefariki je Kuna ulazima wa chetcha Kifo ikiwa cheti chat kuzaliwa kimebainisha kama mzazi amefarik
 
Habari Wana JamiiForums.

Samahani naomba kuuliza kuhusu hili tangazo la Mikopo ya Elimu ya Stashahada (Diploma) ambalo limetolewa na Loan board (HESLB).

Swali langu ni hivi ikitokea umepewa Mkopo wa Diploma ukasoma ukahitimu Alfu badae ukahitaji kuendelea na Elimu ya Juu (Degree), Je!! ukiomba Mkopo kwa ajili ya kusoma Elimu ya Juu utapewa au Mpaka Ulipe kwanza deni la Mkopo ambao uliutumia kwa Elimu ya Stashahada?

Naomba mnisaidie Kwa hili wakuu!! Maana najaribu kuwasiliana nao Simu hawapokei, mda mwingine namba haipatikani. Nisije nikajichanganya kwenye hili.

Natanguliza shukurani.
bbfc7f8cf8724acdbed980bef232924b.jpg
 
6% ya 30 ni 180,000×10yrs of payamement duration inakua 18m riba hiyo jumliisha na princple debt of 30m = 48m jumlasha na 2% ya inflation and debt collection ni 1.4 m totol debt payment 50m.........sasa hizo utaweza je kujiondoa kwenye umasikini ikianza ajira na deni la 50m.
Hii assumption ipuuzwe, hata medical students waliosoma private, deni halifiki 50M, nna kaka zangu wamesoma private doctor of medicine na deni sio hilo, ni around 30-35M, sasa kwa mtu aliesoma serikalini hata kama akipewa mkopo asilimia mia, deni haitafika hata 30M, kwahiyo futa huo upotoshaji uliouchanganua hapo kwa kuandika maneno ya kibiashara, sisi tuliosoma sayansi hatuelewi hizo terminology ni kututisha tu
 
6% ya 30 ni 180,000×10yrs of payamement duration inakua 18m riba hiyo jumliisha na princple debt of 30m = 48m jumlasha na 2% ya inflation and debt collection ni 1.4 m totol debt payment 50m.........sasa hizo utaweza je kujiondoa kwenye umasikini ikianza ajira na deni la 50m.
Kwanza ukisoma masharti ya mkopo, muongozo wa utoaji mkopo na urejeshaji wake hakuna sehemu wameandika haya makolokolo uliochanganua hapa, sijui hata umeyatolea wapi?? Gharama utakayo lipa ya ziada ilioandikwa kwenye muongozo wa HESLB, ni ya "ada ya usimamizi wa mkopo" ambayo ni kidogo pia...
 
Namimi ningependa kujua nilipewaga 6m za miaka mitatu nikimanisha 2m 2m 2m hivi kwa makadirio nitakuja kulipa shingapi hao heslb
 
Back
Top Bottom