Msaada: Unaagizaje dawa kutoka nje ya nchi?

Msaada: Unaagizaje dawa kutoka nje ya nchi?

Afrocentric view

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2022
Posts
1,374
Reaction score
2,280
Hello wakuu, naomba kuuliza

Kwa mtu anaetaka kuagiza Dawa ambazo hazipatikani Tanzania Kuna utaratibu Gani?

Mfano mtu anataka kuagiza DMT,Steroids,whey protein au drysol .

Mimi nataka kuagiza drysol,Ni antiperspirant kama deodorant za Nivea.

Mwenye kujua utaratibu anisaidie
 
Hello wakuu, naomba kuuliza
Kwa mtu anaetaka kuagiza Dawa ambazo hazipatikani Tanzania Kuna utaratibu Gani?
Mfano mtu anataka kuagiza DMT,Steroids,whey protein au drysol .

Mimi nataka kuagiza drysol,Ni antiperspirant kama deodorant Za Nivea.
Mwenye kujua utaratibu anisaidie
Hapo inategemea je hiyo dawa haijawahi sajiliwa Tz?kama ilishasajiliwa basi itakuwa na official distributor ambae aliainishwa na mzalishaji wa bidhaa pindi inasajiliwa hivyo kama unaitaka hiyo bidhaa either uiagize kupitia Kwa official distributor au mzalishaji awataarifu TMDA kuwa na wewe ni distributor wa dawa yao
 
Hello wakuu, naomba kuuliza
Kwa mtu anaetaka kuagiza Dawa ambazo hazipatikani Tanzania Kuna utaratibu Gani?
Mfano mtu anataka kuagiza DMT,Steroids,whey protein au drysol .

Mimi nataka kuagiza drysol,Ni antiperspirant kama deodorant Za Nivea.
Mwenye kujua utaratibu anisaidie
Huwezi agiza mkuu, otherwise ukasajili kampuni ya madawa, upate leseni ya kuagiza kutoka TMDA, vibali tu itakugharimu sio chini ya 2M , kisha ndio uagize kwa bei ya huko plus freight cost....
 
Hello wakuu, naomba kuuliza
Kwa mtu anaetaka kuagiza Dawa ambazo hazipatikani Tanzania Kuna utaratibu Gani?
Mfano mtu anataka kuagiza DMT,Steroids,whey protein au drysol .

Mimi nataka kuagiza drysol,Ni antiperspirant kama deodorant Za Nivea.
Mwenye kujua utaratibu anisaidie
ARV ndo mpaka uagize nje ya nchi?mbona mahospitali wanagawa bure?
 
Back
Top Bottom