Ili uweze kufanikisha vitu vyote, morogoro ni pazuri kuliko mwanza: hii nikwasababu ya initial cost yake ni ndogo kulinganisha na mikoa mingine, kama vile mashamba utapata kwa beindogo, malighafi kwa mgahawa ni nafuu sana, na uhitaji wa mghawa ni mkubwa maana wengi hapa morogoro ni wahamiaji wa muda kama vile wanavyuo, wafanyabiashara ambao wengi wao ni single hivyo hula kwenye migahawa.
kwaupande wa hotculture, udongo una rutuba sasa ukiongezea maarifa hapo hushikiki tena.Aidha kunafaida ktk mkoa huu maana nikituo cha vyuo vya kilimo ambapo unaweza ukashea mawazo.
"Economic for life"