goodmother
Senior Member
- Jul 21, 2012
- 108
- 78
Heshima kwenu wakuu! Nina wazo la kufungua mgahawa sio local sana wala wa kisasa sana, mradi huu nilikuwa na fikiri kuuanzisha morozgoro, au Mwanza na pia nataka nijihusishe na kilimo haswa cha mahema ( tomato, pepper and watermelon kwa njia ya greenhouse) na mazao mengine ya mboga mboga. Pamoja na ufugaji wa kuku kienyeji ili niweze kupata mbolea kwaajili ya kilimo hicho. Wakuu ni mkoa gani ambao mawazo yangu hayo yatafanikiwa utekelezaji wake yote kwa pamoja Pia upatikanaji wa eneo la mgahawa na shamba ekari tatu (3) ? Natanguliza shukurani kwenu.