Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 728
Wakuu heshima kwenu
Nina mtoto wa miezi mitano lakini mpaka sasa utosi wake bado haujafunga na umeachia eneo kubwa,ingawa mtoto mwenyewe ana afya nzuri lakini tatizo hili linanipa wasiwasi
Naomba kwa mwenye kujua naweza kumsaidia vipi mwanangu ili utosi ufunge mapema anisaidie
Shukrani.
Nina mtoto wa miezi mitano lakini mpaka sasa utosi wake bado haujafunga na umeachia eneo kubwa,ingawa mtoto mwenyewe ana afya nzuri lakini tatizo hili linanipa wasiwasi
Naomba kwa mwenye kujua naweza kumsaidia vipi mwanangu ili utosi ufunge mapema anisaidie
Shukrani.