Msaada: Uume kushindwa kusimama

Msaada: Uume kushindwa kusimama

Naomba kuleta mrejesho wa siku ya Leo, nashukru kwa wale ambao wameguswa na tatizo langu na wale ambao wanaleta kejeli Mungu awasamehe. Maana hili jukwaa ni sehemu ya Tiba pia ila baadhi ya watu wanakejeli.

Leo asubuhi nimeenda hospital iliyokaribu yangu, nimepima UTI kama nilivyoshauriwa na ndugu yangu Dallas green. Nimepima mkojo ni msafi, ila dokta akaniandikia dawa inaitwa VIGOMAX FORTE nitumie hiyo kwani itanirejesha kwenye Hali yangu.

Nakalipia kama alivyonielekeza sh 28,000 lakini wakati nikiwa njiani kurudi nyumbani nikaona ngoja niingie JF nione kama Kuna watu walishawahi kutumia hii dawa, nikakutana na post ya mdau analalamika hii dawa kumsababishia matatizo. Hadi saiv nimeogopa hata kuitumia.


Naomba kujua kama Kuna dokta humu, je hiyo dawa nitumie au Ina madhara?
 
Hii ndiyo dawa ambayo nimepewa
IMG_20230921_151445_009.jpg
 
Habarini ndugu zangu wa JF, naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo ambalo kwasasa linaninyima radha ya maisha, nilifanya appointment na binti nikiwa vizuri kabsa na kabla ya hapo sikuwa na tatizo kama hili.

Binti alifanikiwa kupanda gari kuja eneo nilipo, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kufanya mechi nae, usiku wa kwanza nilifanya vizuri tu bila tatizo, na kesho yake asubuhi vile vile.

Baada ya hapo siku zilizofuata performance yangu ikashuka, nikawa natumia nguvu nyingi sana kupata hisia, japo nilijitahidi kwa uwezo wa Mungu akamaliza muda wake kwangu akijua naweza ( japo Kuna muda alistuka akajua Nina shida kitandani).

Akaondoka, tokea hapo mashine yangu imekuwa ikisimama kwa shida sana ( legelege) mwanzoni Hali hii kwa kweli imeninyima raha kabsa ndugu zangu. Nimekuwa mtu wa mawazo, na kiasi kwamba najiona dhaifu.

Nina week mbili Sasa mashine inasimama kwa wasiwasi, na ikisimama haina uwezo wa kuwekwa mahali ( sio imara).

Naomba kwa mtu anayejua tiba, ushauri anisaidie nimekuwa mtu wa kushinda nimelala nikiwaza.

Naombeni ushauri wenu au mwenye Tiba anisaidie.

Kipindi Cha coronavirus watu wengi waliogopa sana na kuna wengi walitutoka sababu ya Ile hofu.....​

Unaweza ukawa hauna Tatizo kuliwaza sana Tatizo na kukamia sana gemu inaweza leta kuto kujiamini......

Jaribu kula vizuri kabisa protini Kwa wingi maji ya kutosha pia pumzisha mwili pia punguza mawazo na epuka stress

Pia jaribu kutumia sildenafil citrate 50mg kijiboost Ili uone performance itakuaje Ili ujue shida ipo au ni wewe hofu zako...

Namnukuu,​

Franklin D. Roosevelt

"The only Thing you Have to Fear Is just Fear Itself”​

 

Kipindi Cha coronavirus watu wengi waliogopa sana na kuna wengi walitutoka sababu ya Ile hofu.....​

Unaweza ukawa hauna Tatizo kuliwaza sana Tatizo na kukamia sana gemu inaweza leta kuto kujiamini......

Jaribu kula vizuri kabisa protini Kwa wingi maji ya kutosha pia pumzisha mwili pia punguza mawazo na epuka stress

Pia jaribu kutumia sildenafil citrate 50mg kijiboost Ili uone performance itakuaje Ili ujue shida ipo au ni wewe hofu zako...

Namnukuu,​

Franklin D. Roosevelt

"The only Thing you Have to Fear Is just Fear Itself”​

Asante mkuu
 
Nlikushauri kwamba tatizo lako ni kisakolojia, moja wapo ya dalili ni kukosa hamu ya tendo. Ukikosa hamu ya tendo hata mwanamke akae uchi haita simama kamwe. Inabidi ujue kwamba kabla ya kusimama,unakuwa umeanza kupata hamu.

Unatakiwa kupata mwanasaikolojia kwanza,
Asante ndugu
 
Naomba kuleta mrejesho wa siku ya Leo, nashukru kwa wale ambao wameguswa na tatizo langu na wale ambao wanaleta kejeli Mungu awasamehe. Maana hili jukwaa ni sehemu ya Tiba pia ila baadhi ya watu wanakejeli.

Leo asubuhi nimeenda hospital iliyokaribu yangu, nimepima UTI kama nilivyoshauriwa na ndugu yangu Dallas green. Nimepima mkojo ni msafi, ila dokta akaniandikia dawa inaitwa VIGOMAX FORTE nitumie hiyo kwani itanirejesha kwenye Hali yangu.

Nakalipia kama alivyonielekeza sh 28,000 lakini wakati nikiwa njiani kurudi nyumbani nikaona ngoja niingie JF nione kama Kuna watu walishawahi kutumia hii dawa, nikakutana na post ya mdau analalamika hii dawa kumsababishia matatizo. Hadi saiv nimeogopa hata kuitumia.


Naomba kujua kama Kuna dokta humu, je hiyo dawa nitumie au Ina madhara?
Mdogo wangu mbona husikii, usitumie hiyo dawaa, please njoo in-box
 
Habarini ndugu zangu wa JF, naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo ambalo kwasasa linaninyima radha ya maisha, nilifanya appointment na binti nikiwa vizuri kabsa na kabla ya hapo sikuwa na tatizo kama hili.

Binti alifanikiwa kupanda gari kuja eneo nilipo, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kufanya mechi nae, usiku wa kwanza nilifanya vizuri tu bila tatizo, na kesho yake asubuhi vile vile.

Baada ya hapo siku zilizofuata performance yangu ikashuka, nikawa natumia nguvu nyingi sana kupata hisia, japo nilijitahidi kwa uwezo wa Mungu akamaliza muda wake kwangu akijua naweza ( japo Kuna muda alistuka akajua Nina shida kitandani).

Akaondoka, tokea hapo mashine yangu imekuwa ikisimama kwa shida sana ( legelege) mwanzoni Hali hii kwa kweli imeninyima raha kabsa ndugu zangu. Nimekuwa mtu wa mawazo, na kiasi kwamba najiona dhaifu.

Nina week mbili Sasa mashine inasimama kwa wasiwasi, na ikisimama haina uwezo wa kuwekwa mahali ( sio imara).

Naomba kwa mtu anayejua tiba, ushauri anisaidie nimekuwa mtu wa kushinda nimelala nikiwaza.

Naombeni ushauri wenu au mwenye Tiba anisaidie.
Pambana tafuta toto moja yenye chuchu nzuy, lips Nene, na tako kiasi ndio ulete majibu
 
Back
Top Bottom