Msaada: Uume wangu unasimama kidogo sana nikiuweka ukeni unalala

Msaada: Uume wangu unasimama kidogo sana nikiuweka ukeni unalala

Msaaada Kama kichwa habari kilivyoeleza hapo juu,

Nina miaka 34, nimeoa na watoto wawili shida niliyonayo ni uume kusimama kidogo Sana na hata kabla ya kuuweka ukeni unalala na siwezi tena hata uume kustuka kusimama.
Sawa
1.pima moyo wako kama uko sawa
2.pima kisukari
3.check vidonda vya tumbo

Ukiona kote uko fiti ndo uanze kudeal hilo tatzo lenyewe kama lenyewe ....
Usiende kwa kina karumanzila sasa nenda hospital utashauriwa kitalaam pamoja na kupewa dawa sahihi
 
Stress, kupungua kwa upendo, magonjwa ya njia ya mkojo, magonjwa ya zinaa, kisukari na kukosa mazoezi anglia hayo niliyokutajia then rekebisha. Niliwahi kukutana na hiyo hali
 
Hofu yenyewe nnayo tu ya kushindwa
What you should fear is FEAR itself.
Au labda mke wako anakusema vibaya na anakudharau mpaka unajihisi hutoshi. Unajua maneno matamu ya mke Ni dawa na mabaya na kashfa yanamfanya mtu kutojiamini na kupelekea kutokua na uwezo wa kufanya ngono.
Au labda mkeo Ni mchafu na anavaa zile chupi za wamama watu wazima au anavaa boxer Kama wanawake wa kisukuma wa vijijini? Hata chupi anayovaa mwanamke Ina nafasi yake kwenye tendo la ndoa.
Hebu tafuta mchepuko anayekusifia na kukuweka juu uone abdala kichwa wazi atakavyojitutumua.
 
Pia uupumzishe kidogo kaa hata wiki bila mgegedo inaonekana unapiga KAZI day na night
 
Pole sana kaka,
Hii ni dalili ya upungufu wa nguvu za kiume(mana ukosefu wa nguvu za kiume ni kushindwa kisimamisha na kushiriki tendo,
Sasa kama sivyo basi tatizo la kwanza ni hofu,hofu ni mbaya kuliko unavyoweza kufikiri,niliwah kukutana na pisi kali ambayo sikudhani kama ningeweza kuipata,na kila mshkaji wangu wa karibu alinivunja moyo kuwa siwez mpata,ila nilimpata na show nikapewa,ila hofu ilinifanya nishindwe kushiriki kwa zaidi ya saa moja na nilikua mkwel akanipa moyo utani michezo nikamzoea chap tukakiwasha
Naamini tiba asili sana,tafuta anaezifahamu vizuri
Kila la heri,uko kwenye wakati mgumu sana Mungu akusaidie
 
Msaaada Kama kichwa habari kilivyoeleza hapo juu,

Nina miaka 34, nimeoa na watoto wawili shida niliyonayo ni uume kusimama kidogo Sana na hata kabla ya kuuweka ukeni unalala na siwezi tena hata uume kustuka kusimama.
Wahi haraka hospitali...pamoja na mambo mengine, wakuchunguze kisukari, shinikizo la damu, na tezi dume!
 
Back
Top Bottom