Kuna yakupma yakuweka kwenye maji. 1 kg ni kama sh 3000 hv
Thanks manKuna yakupma yakuweka kwenye maji. 1 kg ni kama sh 3000 hv
Nimewapa dcp, then after niwaanzishie glucose. Mana kichwa ishaanza kuvurugwa.Mi huwa naona bi mkubwa anawapa maji yenye glucose za kuku zile na wanachangamka haswaa.
Tuliza akili boss.. Ukivurugwa utaharibuNimewapa dcp, then after niwaanzishie glucose. Mana kichwa ishaanza kuvurugwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
wana dalili gani hao kuku?kama utaweza tuma picha ili tukushauri vizuri na kwa usahihiHabarini wanaforum.
Naombeni msaada nimefuga vifaranga wa kuku wa kienyeji 75 yapata wiki ya pili sasa.
Ninawatunza kisasa ndani ya chumba maalum nkiwapa huduma zote za kuku wa kisasa.
Sasa wiki iliyopita niliona baadhi yao wameanza shusha vibawa vyao. Nkaenda duka la madawa ya kilimo na mifugo, nkaelezwa na muuzaji niwanunulie Esb3 30% yawezekana wana magonjwa ya tumbo. Nlifanya ivo nkawapa kwa siku tatu kwa kadri nilivyoelezwa, baada ya kumaliza nkaenda kumpa taarifa kua nahisi wanaendelea vizuri, akanishauri pia niwape multivitamin kwa siku tano, nkafanya ivo na leo naandika thread hii ndio siku ya tano,
Lkn kuna utofauti nimeanza kuuona juzi baada ya kifaranga kimoja kuishiwa nguvu za miguu., ikabidi nikitenge, leo tena alfjiri wakati nawabadilishia moto takribani vifaranga 5 navyo havina nguvu kabisa, nimevurugwa nahisi km ntawakosa wote. Naombeni msaada nifanye Nn na tatizo litakua Nn?
Tafadhali wanaforum.
Sent using Jamii Forums mobile app
uki kua uta acha watu wapo serious wana jitafutia kalizik ww unaleta usenge wako matoto bhana
Wape chanjo ya newcastle na gumboro,uwezekano mkubwa ni magonjwa hayo.Nenda kwenye maduka ya dawa za mifugo utapata dawa na maelekezo jinsi ya kutumia
Mkuu mimi wangu ndio wanatatizo hili la choo kuziba, msaada tafadhariChoo inaziba vinashindwa kujisaidia?
Mkuu mi vyangu ndio choo inaziba, nikitumia hiyo esb3 inaweza nisaidia? Vipi inauzwaje hiyo?mie ningependa kujua unawapa chakula chenye mchanganyo upi na kuhusu choo kuziba hio dawa esb 3 haikuonesha impact kwa hilo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wape mifupa changanyia kwenye chakula chao ni yakusaga na choka na dagaa, na pia chumvi yao ukienda duka la vyakula vya kuku waambie hivyo vitu wanavyo.Habarini wanaforum.
Naombeni msaada nimefuga vifaranga wa kuku wa kienyeji 75 yapata wiki ya pili sasa.
Ninawatunza kisasa ndani ya chumba maalum nkiwapa huduma zote za kuku wa kisasa.
Sasa wiki iliyopita niliona baadhi yao wameanza shusha vibawa vyao. Nkaenda duka la madawa ya kilimo na mifugo, nkaelezwa na muuzaji niwanunulie Esb3 30% yawezekana wana magonjwa ya tumbo. Nlifanya ivo nkawapa kwa siku tatu kwa kadri nilivyoelezwa, baada ya kumaliza nkaenda kumpa taarifa kua nahisi wanaendelea vizuri, akanishauri pia niwape multivitamin kwa siku tano, nkafanya ivo na leo naandika thread hii ndio siku ya tano,
Lkn kuna utofauti nimeanza kuuona juzi baada ya kifaranga kimoja kuishiwa nguvu za miguu., ikabidi nikitenge, leo tena alfjiri wakati nawabadilishia moto takribani vifaranga 5 navyo havina nguvu kabisa, nimevurugwa nahisi km ntawakosa wote. Naombeni msaada nifanye Nn na tatizo litakua Nn?
Tafadhali wanaforum.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee nashukuru nimewapa dcp wapo vizuri now.Kuna yakupma yakuweka kwenye maji. 1 kg ni kama sh 3000 hv