luisajr
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 270
- 85
Nimetokwa na vipele vigumu ukeni,havitungi usaha,haviwashi,haviumi wala chochote ..
Nimetumia tube ya candiderm,sonaderm,skineal lakini hamna maendeleo nmekunywa dawa ya fangasi lakini pia haisaidii nninavo takribani miezi miwili sasa nisaidieni jamani tafadhali msinipite nipeni msaada.
Nimetumia tube ya candiderm,sonaderm,skineal lakini hamna maendeleo nmekunywa dawa ya fangasi lakini pia haisaidii nninavo takribani miezi miwili sasa nisaidieni jamani tafadhali msinipite nipeni msaada.