BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Wakati wa Majanga tunahitajika kuweka kwa wingi vyakula vilivyo tiyari kwa kuliwa na viwe ni vile vya kutupatia nguvu kwa wingi.
Bahati mbaya sisi hatuna Vyakula vilivo tiyari sana tuna Unhmga au mahindi au michele.
Wakati wa Majanga Gesi au umeme unaweza usipatikane utafanyaje? Utakula wali mbichi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati mbaya sisi hatuna Vyakula vilivo tiyari sana tuna Unhmga au mahindi au michele.
Wakati wa Majanga Gesi au umeme unaweza usipatikane utafanyaje? Utakula wali mbichi?
Sent using Jamii Forums mobile app