Msaada: Vyakula vya kutunza wakati wa majanga

Msaada: Vyakula vya kutunza wakati wa majanga

Mchele,unga wa ngano,tambi,maharage,nyanya za kopo. Au unanunua nyanya nyingi unasaga unafunga kwenye mifuko ya barafu unaweka kwenye friza. Vitunguu maji,unga wa ugali. Nyama nyingi unakata kata unahifadhi kwenye mifuko midogo midogo ya kuweka kwa friza.
Toa..unga wa ngano, vitunguu maji..unga wanugali..life span yake haizidi six months mostly two to three monthsm..labda mahindi na si unga
 
Kuna mifuko yakinga njaa hiyo ndio kazi yake kwamaeneo mengi inapatkana kwabei ya 5000 itafte hyo inahfadhi kias had debe sita ipo iliyoandikwa PICS na ina nyron mbili kwa ndani hiyo ni. Mizur zaid kama utahtaj ming ni pm tuyajenge

Sent using Jamii Forums mobile app


Asante!

Sasa inapatikana popote au hadi maduka fulani?

Je nikifika dukani niwaambie nataka mifuko gani?




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom