Msaada wa ada

Msaada wa ada

Joined
Sep 7, 2022
Posts
22
Reaction score
40
Waheshimiwa, mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha Tumaini Dar es Salaam (TUDARCO) nikisomea sheria.

Nimekuwa nikikumbana na changamoto kubwa za kifedha baada ya kukosa mkopo licha ya kuambatanisha nyaraka muhimu kama cheti cha kifo cha baba yangu.

Control number yangu ni TU233351786402
Jina Joseph Msehi
Nambà yangu ya simu 0741995421

Hali hii imenifanya nifikirie kusitisha masomo kwa muda kutokana na ugumu wa maisha.

Naomba msaada wenu kwa namna yoyote, hasa katika kulipia ada ya mwaka huu, au hata ushauri kuhusu njia bora ya kusonga mbele. Kwa taarifa, nilihitimu shule ya sekondari kwa daraja la kwanza.
 
Waheshimiwa, mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha Tumaini Dar es Salaam (TUDARCO) nikisomea sheria.

Nimekuwa nikikumbana na changamoto kubwa za kifedha baada ya kukosa mkopo licha ya kuambatanisha nyaraka muhimu kama cheti cha kifo cha baba yangu.

Control number yangu ni TU233351786402
Jina Joseph Msehi
Nambà yangu ya simu 0741995421

Hali hii imenifanya nifikirie kusitisha masomo kwa muda kutokana na ugumu wa maisha.

Naomba msaada wenu kwa namna yoyote, hasa katika kulipia ada ya mwaka huu, au hata ushauri kuhusu njia bora ya kusonga mbele. Kwa taarifa, nilihitimu shule ya sekondari kwa daraja la kwanza.
Nenda kwa Mwamposa Akuombee Upate Ada acha kupoteza muda wako huku. Tumia fursa
 
Kuna mkuu wa wilaya kaombe kibar cha kuchangisha yasije kukuta ya nifa mpka uje utolewe mahabusu ushachakaa sana na maafande now hawana pesa ya siku kuu utakuwa chakula chao
 
Back
Top Bottom