jonathans maziku
Member
- Sep 7, 2022
- 22
- 40
Waheshimiwa, mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha Tumaini Dar es Salaam (TUDARCO) nikisomea sheria.
Nimekuwa nikikumbana na changamoto kubwa za kifedha baada ya kukosa mkopo licha ya kuambatanisha nyaraka muhimu kama cheti cha kifo cha baba yangu.
Control number yangu ni TU233351786402
Jina Joseph Msehi
Nambà yangu ya simu 0741995421
Hali hii imenifanya nifikirie kusitisha masomo kwa muda kutokana na ugumu wa maisha.
Naomba msaada wenu kwa namna yoyote, hasa katika kulipia ada ya mwaka huu, au hata ushauri kuhusu njia bora ya kusonga mbele. Kwa taarifa, nilihitimu shule ya sekondari kwa daraja la kwanza.
Nimekuwa nikikumbana na changamoto kubwa za kifedha baada ya kukosa mkopo licha ya kuambatanisha nyaraka muhimu kama cheti cha kifo cha baba yangu.
Control number yangu ni TU233351786402
Jina Joseph Msehi
Nambà yangu ya simu 0741995421
Hali hii imenifanya nifikirie kusitisha masomo kwa muda kutokana na ugumu wa maisha.
Naomba msaada wenu kwa namna yoyote, hasa katika kulipia ada ya mwaka huu, au hata ushauri kuhusu njia bora ya kusonga mbele. Kwa taarifa, nilihitimu shule ya sekondari kwa daraja la kwanza.