Nemes johnson
Member
- Feb 24, 2017
- 35
- 11
Mm ni kijana wa miaka 19 nimehitimu kidato cha nne 2016 nmebahatika kupata division 3 Ila kipato cha nyumban nmeshindwa kuendelea na kidato cha tano
Ila nilikua naomba msaada wa kupata ajira ili niweze kujiendeleza kimasomo binafsi na Nina uwezo was kufanya Nazi kwenye mazingira yoyote napatikana DAR ES SALAAM MTAA WA MWANANYAMALA
Namba zangu 0714489657
Kama kwel una nia ya kunisaidia nisaidie
NB:
No one know tommrow
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nilikua naomba msaada wa kupata ajira ili niweze kujiendeleza kimasomo binafsi na Nina uwezo was kufanya Nazi kwenye mazingira yoyote napatikana DAR ES SALAAM MTAA WA MWANANYAMALA
Namba zangu 0714489657
Kama kwel una nia ya kunisaidia nisaidie
NB:
No one know tommrow
Sent using Jamii Forums mobile app