Msaada wa bei na soko la mazao haya

Msaada wa bei na soko la mazao haya

sele255

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2016
Posts
205
Reaction score
262
Wadau wazoefu kwenye kilimo cha bustani naomba kupata ushauri kuhusu kilimo hicho,bei na masoko ya mazao haya.

1.kindola (matango madogo).

IMG_20220106_071656_832.jpg

2.Kalela
IMG_20220106_071641_469.jpg

3.Maharage ya kichina
IMG_20220106_071635_245.jpg


4.Kisola

IMG_20220106_071629_435.jpg

5.Pilipili maricha
IMG_20220106_075923_365.jpg


Note: Baadhi ya majina yaliyotumika ni ya asili
 
Back
Top Bottom