Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe si nimetoka kusoma post yako unasema unawapatia watu huduma za "business ideas"
Habar wana Jf, mm ni kjana niliehitimu diploma ya masoko na mauzo kutokana na upatikanaji mgumu wa ajira ninaomba kwa mtu yeyote ambaye ana wazo zuri la biashara naomba anisaidie kuniambia then ntalifanyia utafiti wa undani zaidi asanteni naomba kuwasilsha ila mm mwemyewe nilikuwa nna wazo la kuanzisha small micro loans coz nna mtaji wa million 5 asanteni sana nasubir mawazo yenu ndugu zangu
Sidhani kama uko serious na hicho unachotaka kukifanya na huo mtaji wako wa M5 labda uniambie una ofisi iliyokamilika tayari lakini kama bado hebu cheki hapa
Mtaji 5,000,000/=
Mahitaji
Ofisi yenye vyumba viwili kimoja 100,000/= × 12= 2,400,000/=
Computer 2 @ 300,000/= ×2=600,000/=
Meza 2 @ 100,000/= × 2 =200,000/=
Viti 5 @ 50,000/= × 5 = 250,000/=
Bado kabati la kutunzia kumbukumbu stationeries feni ukarabati wa ofisi kwa mahitaji yako umeme wa kuanzia, vifaa vya usafi mfanyakazi mmoja na mshahara wake uwe tayari kwa mwezi huo
Utaona kuwa kwa mtaji wako huo na hicho unachotaka kukifanya haviendani kabisa labda ofisi iwe hm kwako
Kumbuka nimejaribu kuweka viwango vya chini kabisa kwenye kila kitu kutegemeana na hadhi ya ofisi unayotaka kufungua. Nasubiri maswali
wewe si nimetoka kusoma post yako unasema unawapatia watu huduma za "business ideas"