Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

Ukitaka kujua kuna utapia mlo makubwa hapa bongo angalia timu yetu ya taifa ya mpira wa miguu.
Kwa mtoto atakayekula virutubisho vyote inavyopaswa, basi anakuja kuwa lijitu lenye nguvu lirefuu. Sasa cheki timu yetu vijitu vilivyodumaaa hii yote instokana na kutokupata mlo wenye virutubisho walipokuwa wadogo.

In short ni kwamba ugali ni moja ya chakulaa chenye virutubisho vichacheee sana, alafu ndo unaliwaa kwaa wingii sana bongo

Sio timu ya taifa tu, watanzania wote tuna utapiamlo wa kudumu, tunaanza kuupata tangu utotoni kwa kuwa wazazi wetu pia walikua nao. Angalia sekta zote wapi kuna mahali tunafanya vizuri? Kuna watu hapa kwa unafiki tu wanasema Mbeya kuna mchele ukanunuliwe wakati hata kutosha tu wananchi hautoshi! Na hata hivyo sijui watu wanaongelea ladha? Hata huo wa mbeya hauna virutubisho, unajaza matumbo tu (kwani hao watu wa Mbeya wanaokula huo mchele wana tofauti gani na watz wengine zaidi ya rangi za ngozi tu?? Tuna malnutrion ndio maana jamii yetu yote ipo ilivyo tangui kwa viongozi hadi wasomi wanaochangia uzi huu! Hamna mwenye hoja zaidi ya kusema ushoga tukisema hebu eleza mahusiano ya chakula na ushoga wote wataleta sanaa za uchawa tu hapa! Mara JPM angekuwepo sijui angefanyaje? Unafiki tu, angefanya nini kwani? Misaada ya chakula ya USAID ilianza tangu miaka ya John Kennedy aliyeleta kwa serikali ya Nyerere, mwaka 1974 pia na 1984 yote ilikuja na wazazi wenu walikula, leo hii walikuwa mashoga?

Solution moja tu kama mnataka kuondoa fedheha ya kusaidiwa hadi chakula, ongezeni uzalishaji na zalisheni vyakula vyenye lishe ili kizazi kinachokuja kipungue utapiamlo na wakue physically na mentally sawasawa ili waje wakomboe kizazi hiki, hiki hamna namna kitajikomboa, ndio ukweli mchungu!! Kitabaki hivihivi hadi kitakwisha, maoni na michango yenu duni itaishia JF na tutaendelea kuanzisha nyuzi mpya za namna hii hadi tunamaliza safari zetu...sadly
 
Thats a fact!

Na kuongeza matusi kwenye kidonda, taarifa ya Marekani imesema ni "mchele ulioongezwa virutubisho."

Tranlation: Genetically Modified Foods

Wamarekani wanajua Samia Suluhu is a lightweight, hana uwezo wa kuchambu pumba hana balls and wherewithal ya kumhoji Mzungu. Na hakuna kichwa hata kimoja serikalini kitahoji ni toka lini tumeruhusu michele iliyobadilishwa vinasaba ????
Huu ni mchele ulioongezwa vitamini na madini baada ya kuvunwa. Unitwa fortified rice. Mchele wote uliozalishwa Marekani ni lazima uongezewe virutubisho hata ule unaopatikana madukani Marekani kwenyewe mfano Uncle Ben's parboiled long grain rice.

 
Nani huyu aliye kuhakuhakikishia hayo? Kwanini wasiwanunulie unga wa Ugali?

Hayo ndio anayoyasema mleta mada, Lishe bora kivipi? Kwani mchele wa Kilombero sio lishe bora? Ukumbuke watoto wanaathirika na Mchele na unaweza kusababisha saratani huko mbeleni, hususani huu mchele unaongezwa kemikali/virutubisho.

Unakandamiza hoja ya mleta mada


mpe majibu aliyokuwa akitafuta basi wewe mtibeli.



??
Lakini kumbuka huyu ni mpumbavu mwezio mmetofautiana tu hoja
 
Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..

Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?

Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?

Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.

Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..

Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.

Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..

Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.

Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.

View attachment 2935710

 
Umenikumbusha pia tuna utapia mlo makubwa sana mentally, na kwa jinsi tunaongezeka kwa kasi, hii inchi inaweza ikashindikana kuishi hapo mob watakapochukua madaraka

Mkuu hoja kubwa hapa ni "kwa nini Marekani" sio kingine chochote, watu wanasahau America ni big brother, ni kama maji usipoyanywa utayaoga, usipoyaoga utayafulia nk nk. Hao wanaotajwa km Russia na wengine nao pia wanapata misaada ya US, hamna namna ya kukwepa hata apakwe mavi kiasi gani is there to stay. Ukitaka usipate fedheha nyumbani kwako jitosheleze kwa chakula wandugu, kama hujitoshelezi "umatonya unakuhusu sana tu"

Mchango wetu kwenye maendeleo ya dunia kwa kizazi hiki ni mdogo sana wandugu, bora hata babu zetu walitumikishwa wakajenga reli, barabara za vumbi, mashamba ya wakoloni pote duniani na hapa etc, japo hayajawasaidia persanally lakini yalichangia maendeleo ya wakati huo ambayo bado yanaonekana hadi sasa kwa kweli. Vijana wa leo tangu anazaliwa hadi anakufa hamna kitu significant kafanya hata ajivunie.
 
Ni hii nchi inayoshika nafasi ya pili kwa mifugo Africa. Imezungukwa na maziwa na bahari na utitiri wa mito unatiririsha maji mpaka mafuriko. Bila kusau neema ya Utajiri wa madini na gesi halafu kuna raia wenye utapiamlo wanaishi kwa chakula cha misaada kutoka kwa wahisani, huku kiongoz ananunuliwa gari la 400mil marupurupu ya kedekede.
Ukitafakari sana unaweza rukwa na akili.
 
Ni hii nchi inayoshika nafasi ya pili kwa mifugo Africa. Imezungukwa na maziwa na bahari na utitiri wa mito unatiririsha maji mpaka mafuriko. Bila kusau neema ya Utajiri wa madini na gesi halafu kuna raia wenye utapiamlo wanaishi kwa chakula cha misaada kutoka kwa wahisani, huku kiongoz ananunuliwa gari la 400mil marupurupu ya kedekede.
Ukitafakari sana unaweza rukwa na akili.
Hakika Inaumiza sana
 
Huu ni mchele ulioongezwa vitamini na madini baada ya kuvunwa. Unitwa fortified rice. Mchele wote uliozalishwa Marekani ni lazima uongezewe virutubisho hata ule unaopatikana madukani Marekani kwenyewe mfano Uncle Ben's parboiled long grain rice.

WAPI kwenye hiyo link wamesema michele yao yote wananunua kutoka kwenye maduka yao yote ni type hiyo waliyotuletea, "iliyoongezwa virutubisho" ???
 
Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..

Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?

Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?

Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.

Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..

Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.

Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..

Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.

Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.

View attachment 2935710
Mkipewa msaada mnalalamika, msipopewa msaada mnalalamika.

Mkipewa trade deals kama AGOA hamzitumii.

Mnalalamika tu.

Haya, kulalamika kunaweza kuburudisha. Kukifanywa vizuri.

Hata kulalamika kwenyewe hamjui.

Mnalalamika kwa conspiracy theories za kuungaunga.
 
Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..

Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?

Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?

Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.

Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..

Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.

Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..

Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.

Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.

View attachment 2935710
EPUKA SANA KUPOKEA ZAWADI YA NGUO KWA MTU AMBAYE YUKO UCHI
 
WAPI kwenye hiyo link wamesema michele yao yote wanayokula wao kutoka kwenye madukani yao yote ni type hiyo waliyotuletea, "iliyoongezwa virutubisho" ???
Jiongeze mkuu. Google. Fanya research ya angalau dakika 5.


 
Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..

Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?

Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?

Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.

Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..

Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.

Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..

Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.

Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.

View attachment 2935710
Kwanini? Tanzani imekuwa ithiopia?
 
Virutubisho.

Kazi kweli kweli

Hoja nzito na izingatiwe.

First they win hearts and minds.

Hao watoto kwa mamia, hutoweza kuwaambia kuhusu kitu chochote huko mbeleni, kuhusu U.S.A.

Kitakachofutia ni Ukambona.
Ya solo. Ni bakweli lioboso zalinatema. heart then mind.
 
Jiongeze mkuu. Google. Fanya research ya angalau dakika 5.


fortification inaongeza mukansa kwa batoto. California wanaweka label na kusema "may cause cancer" some chemical compund may be carcinogenic.

jiongezeee
 
Wazungu wenyewe watoto zao wanalala na njaa kali sana huko Marekani na Ulaya. Karibia watoto milioni kumi wanalala na njaa. Kwanini wasimalize hizo shida kwao kama sio kuja kutafuta Airtime?

Itoshe watoto huko wanakula Cornflakes kavu na maji.

Watoto wanakufa na Saratani kila siku huko na imeongezeka maradufu kwa kula vyakula vilivyowekewa virutubishi.

Hawa watoto watakaokula mchele huo, wanajiongezea sababu tu watoto zao waje kuwa kama hivyo tu, na ongezeko la saratani.
Very true. Nimeenda California. Kwa package ya Rice Crispies ikienda kuuza california inasema, "may cause cancer" California has one of the strickest food safety laws. Fortified food products including thiose made with bleached rice and additional fortification, can contain chemical compounds that are associated with carcinogenic risk. unaweza patikana na kansa.
 
Back
Top Bottom