BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
Mchele wenye virubitisho vya nini ? Au vya kupunguza uwezo wa kuzaliana ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiulize kwanza hicho chakula ni salama Kwa afya ya watoto wetu kabla ya akili yako kusifia Kila kitu km mtu mwenye utindio wa ubongoMm nadhani tujikite kuipongeza serikali ya awamu ya sita chini ya mama hodari Samia kufanikisha mlo.
2025 mama apite bila uchaguzi
Misaada mingine yakipumbavu sana,Kwa nini wasipeleke huko Somali land kwenye taabu ya kupata chakula, Tatizo tumekua watu wa kupenda misaada, watatuangamiza hawaMchele wenye virubitisho vya nini ? Au vya kupunguza uwezo wa kuzaliana ?
Kwani dhahabu yote inachimbwa na makampuni ya Nchi gani ?Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..
Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?
Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?
Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.
Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..
Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.
Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..
Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.
Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.
View attachment 2935710
Tuangalie sana hili suala ukute wanataka kufanyia majaribio watoto wetuMchele wenye virubitisho vya nini ? Au vya kupunguza uwezo wa kuzaliana ?
Kama kuna kaukweli fulaniUtapiamlo ni shida kubwa ya nchi wala sio Dom, tuna chronic malnutrition ndio maana tunafanana wote tu! Awe profesa au mtawala hana tofauti na mzee wangu kule mbwilike ambaye hajui hata kusoma hela. Hatuna kitu tunafanya vizuri iwe michezo across all fields hadi uchungaji na ulokole wetu ni tofauti sana na dunia
Wao huwa wanatoa kidogo kisha wanayatuma makampuni yao yaje yachukue madini kama Dhahabu na mengineyo kwa kutupa asilimia ndogo kabisa !Ni hao hao USA,waliwahi toa mahindi mwisho ukapatikana unga wa Yanga.
Nimeipenda hii 🙏Jiulize kwanza hicho chakula ni salama Kwa afya ya watoto wetu kabla ya akili yako kusifia Kila kitu km mtu mwenye utindio wa ubongo
Wale wamechukua Dhahabu zetu kwa miaka mingi sana kwa kutoa asilimia 3% !Kuukataa msaada toka Marekani ni kosa la Jinai. Adhabu yake ni kupandikiziwa matatizo mpaka muingie katika vita.
WAtu wanakula pesa huko.Wakaamua waletea Malighafi za kula..mle na mchele.Hatuna Ukame, hatuna Vita wala sisi sio Wakimbizi.
Watufungulie miradi ya Irrigation Schemes tulime sisi wenyewe Mahindi ni Miezi minne tu tunavuna.
Iko vile bandugu !WAtu wanakula pesa huko.Wakaamua waletea Malighafi za kula..mle na mchele.
Waliopokea ni wapumbavu wakahojiwe.Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..
Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?
Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?
Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.
Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..
Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.
Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..
Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.
Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.
View attachment 2935710
Eti Bwana wapeleke Gaza huko.Waliopokea ni wapumbavu wakahojiwe.
Tanzania inahitaji Msaada lakini sio wa vyakula unless hao watu wangetoa Kwa wale watu wa Hanang au Vituo vya mayatima au Wazee labda tungeelewa
Mbona bei ya chakula Mjini iko juu?Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.
Hivi Bibi Titi hajatoa mavuno yake huko aliko?Ni kweli au ndo utani?
Kama ndo ukweli wa fikra zako;
- Ni muda muafaka sasa kwa wewe kukabidhi kifaa unachotumia kutolea maoni kwa wenye maoni.
- Mwijaku + Doto Magari/Baba Levo = Wewe
- Ile wanayosema(ga), "mwenda tezi na omo, marejeo ngamani", basi wewe ndo Omo, Mama ni tezi.
Hivi lengo la BiBiTi....ti ni nini?
Usalama wa chakula ni salama kitu gani? Nani ana muda wa kuuliza hayo maswali? Hoja ni kwamba sisi ni walemavu kuhitaji misaada? Au tupo vitani? Vijana wamekaa ku-bet na kuendeleza ngono na pombe halafu mnasubiri misaada. Si ndio wanaume wataolewa? Mimi sipo. NdukiiiiJiulize kwanza hicho chakula ni salama Kwa afya ya watoto wetu kabla ya akili yako kusifia Kila kitu km mtu mwenye utindio wa ubongo
Hahaha......tunasubiri ufafanuzi wa Katibu Mkuu Mwenezi CCM TaifaUsalama wa chakula ni salama kitu gani? Nani ana muda wa kuuliza hayo maswali? Hoja ni kwamba sisi ni walemavu kuhitaji misaada? Au tupo vitani? Vijana wamekaa ku-bet na kuendeleza ngono na pombe halafu mnasubiri misaada. Si ndio wanaume wataolewa? Mimi sipo. Ndukiiii