Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

Nawaza watoto Mashuleni kweli Tz ya kusaidiwa mafuta ya Alizet na mchele na Maharagwe hivyo vyakula ziko vingi sana Hapo dodoma tu Alizet mpk wanapima kwa koroboi Leo uletwe msaada 😥
 
Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..

Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?

Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?

Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.

Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..

Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.

Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..

Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.

Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.

View attachment 2935710
Kwani dhahabu yote inachimbwa na makampuni ya Nchi gani ?
Canada 🇨🇦 = USA 🇺🇸
Kwahiyo hata wakitoa mchele wa misaada kwa miaka mitano mfululizo bado ni sisi ndio tumeliwa tu !
Mstaafu mmoja alikuwa anasemaga kula uliwe ndio hiyo sasa ! 😅🙏🙏
 
Utapiamlo ni shida kubwa ya nchi wala sio Dom, tuna chronic malnutrition ndio maana tunafanana wote tu! Awe profesa au mtawala hana tofauti na mzee wangu kule mbwilike ambaye hajui hata kusoma hela. Hatuna kitu tunafanya vizuri iwe michezo across all fields hadi uchungaji na ulokole wetu ni tofauti sana na dunia
Kama kuna kaukweli fulani
 
Ni hao hao USA,waliwahi toa mahindi mwisho ukapatikana unga wa Yanga.
Wao huwa wanatoa kidogo kisha wanayatuma makampuni yao yaje yachukue madini kama Dhahabu na mengineyo kwa kutupa asilimia ndogo kabisa !
JPM alisemaga ndugu zangu tumepigwa sana !
😅😅🙏🙏
 
Kuukataa msaada toka Marekani ni kosa la Jinai. Adhabu yake ni kupandikiziwa matatizo mpaka muingie katika vita.
Wale wamechukua Dhahabu zetu kwa miaka mingi sana kwa kutoa asilimia 3% !
Kwahiyo wakirudisha hisani kidogo haina shida !
Na ndio maana unaona Nchi iko Stable !
Hawana haja ya kutudhuru sisi kwa sababu sisi ni marafiki sana na wao !
🙏🙏🇺🇸🇹🇿🇨🇦 🙏🙏
😅😅👏👍
 
Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..

Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?

Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?

Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.

Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..

Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.

Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..

Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.

Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.

View attachment 2935710
Waliopokea ni wapumbavu wakahojiwe.

Tanzania inahitaji Msaada lakini sio wa vyakula unless hao watu wangetoa Kwa wale watu wa Hanang au Vituo vya mayatima au Wazee labda tungeelewa
 
Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.
Mbona bei ya chakula Mjini iko juu?
 
Ni kweli au ndo utani?

Kama ndo ukweli wa fikra zako;
  • Ni muda muafaka sasa kwa wewe kukabidhi kifaa unachotumia kutolea maoni kwa wenye maoni.
  • Mwijaku + Doto Magari/Baba Levo = Wewe
  • Ile wanayosema(ga), "mwenda tezi na omo, marejeo ngamani", basi wewe ndo Omo, Mama ni tezi.

Hivi lengo la BiBiTi....ti ni nini?
Hivi Bibi Titi hajatoa mavuno yake huko aliko?
 
maskini hamna jema nyie .mmepewa chakula Cha Bure mlishe vitoto vyenu vyenye utapiamlo mnaanza kelele..
Hao wamarekani wawawekee viambata sumu au ushoga vya nn wakati tayar wengi wenu mshakufa while mnaishi.
 
Jiulize kwanza hicho chakula ni salama Kwa afya ya watoto wetu kabla ya akili yako kusifia Kila kitu km mtu mwenye utindio wa ubongo
Usalama wa chakula ni salama kitu gani? Nani ana muda wa kuuliza hayo maswali? Hoja ni kwamba sisi ni walemavu kuhitaji misaada? Au tupo vitani? Vijana wamekaa ku-bet na kuendeleza ngono na pombe halafu mnasubiri misaada. Si ndio wanaume wataolewa? Mimi sipo. Ndukiiii
 
Usalama wa chakula ni salama kitu gani? Nani ana muda wa kuuliza hayo maswali? Hoja ni kwamba sisi ni walemavu kuhitaji misaada? Au tupo vitani? Vijana wamekaa ku-bet na kuendeleza ngono na pombe halafu mnasubiri misaada. Si ndio wanaume wataolewa? Mimi sipo. Ndukiiii
Hahaha......tunasubiri ufafanuzi wa Katibu Mkuu Mwenezi CCM Taifa
 
Back
Top Bottom