Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

ISIJE KUWA HUO MCHELE WAMESHAWEKA MADAWA YAO YA KUWAFANYA WATOTO WALIO SHULE. KUWA NA HAIBA YA USHOGA ?MANA HAWA WAZUNGU SIO WATU WA KUWAAMINI
 
Hahahaa Gaza hawachukui hata kama wanakufa njaa.

Wabadilishe magunia waweke
from Tanzania.

Muwe mnafuatilia kujua ukweli. Yaani Gaza wakatae msaada wa Marekani, halafu wataishije?

Miaka yote, USA ndiyo inayoongoza kupeleka misaada mbalimbali Gaza, kikiqemo chakula, kuliko nchi nyingine yoyote. Mpaka sasa hivi wanawapa wapalestina misaada ya chakula kwa kudondosha kwa ndege tokea angani.
 
Hakuna jinsi ya kuwadunisha watu kama kuwapa chakula cha bure. Licha ya nchi yetu kua na chakula cha kutosha adui atataka akupe chakula na kukufanya kuamini huna uwezo kujilisha.

Sijui hii awamu yenye vichwa kama cha yule kipara kibaraka wa ubeberu anayejiamini bure wanaelewa hili.

Kama taifa nchi inayotaka kutupa chakula cha bure tuwe wapole na kuwaeleza shida yetu nyingine kama wanataka kutupa vya bure ili kutufanya tuamini sisi ni maskini na ni watu wa kusaidiwa tu.

Si kila siku mnalalamika kuwa watanzania wengi wanakula mlo mmoja kwa sababu wananchi hawana uwezo wa kununua chakula? Wamarekani watakuwa wamefikiria sana mpaka kufikia uamuzi huo. Wakitoa pesa, wanajua kuwa CCM wataiba, wameamua kuleta chakula. Huenda hata chakula chenyewe hakijatoka US, bali kimenunuliwa toka taifa jingine.

Bila shaka CCM watakuwa waliomba chakula wakitarajia watapewa pesa ili waipige. US wameamua kuwakomoa kwa kuwapa chakula. Ni sawa na wale omba omba wanaokuomba hela ukiwa hotelini unakula, wakidai wanaomba hela wanunue chakula, na wewe ukaamua kuwanunulia chakula wale. Huwa hawafurahi kabisa. Mjue uchaguzi ni mwakani, CCM inahaha kutafuta pesa ya kampeni. Pesa ya DP World inaweza isitosheleze kugharamia kampeni za CCM kama walivyowaahidi.
 
Hii ndio faida ya kuwa na viongozi vibaraka... Jambo kama hili ni aibu kubwa na kuweka usalama wa nchi rehani
 
Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..

Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?

Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?

Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.

Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..

Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.

Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..

Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.

Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.

View attachment 2935710
Kitu ambacho hukijui hata mafuta, sembe , ngano za wazalishaji wakubwa kama mo, bakhresa na wengine nazo zina vurutubishi vilvyoongezwa na havitengenezwi hapa vinanunuliwa germany. We angalia hizo bidhaa utaona logo ya fortification.
So kama lengo ni kutumaliza basi hawakuanza sasa hivi wameanza zamani na kama kutuniza hata hawana haja ya kutunaliza kwa kututangazia kuwa wanatuletea chakula, wana njia nyingi tu maana karibu vifaa tiba vyote vinatoka nje.
And by the way kama nchi tujiulize tumefanikiwa katika jambo gani zaidi ya kuwa nchi ambayo inaongoza kwa kutoa followers wengi kwenye social media platforms?
So sioni kama unatuchafua maana tayari sisi ni wachafu. Kutupa taka kwenye dampo hulichafui dampo.
Hata plan ya bashe na kutumia maela mengi bila shaka imefail kama ilivyokuwa kilimo kwanza
 
Ni jambo zuri Sana , Asante USA kwa huo msaada.

Mnaosema habari za ushoga mna akili ndogo Sana kichwani.
 
Si kila siku mnalalamika kuwa watanzania wengi wanakula mlo mmoja kwa sababu wananchi hawana uwezo wa kununua chakula? Wamarekani watakuwa wamefikiria sana mpaka kufikia uamuzi huo. Wakitoa pesa, wanajua kuwa CCM wataiba, wameamua kuleta chakula. Huenda hata chakula chenyewe hakijatoka US, bali kimenunuliwa toka taifa jingine.

Bila shaka CCM watakuwa waliomba chakula wakitarajia watapewa pesa ili waipige. US wameamua kuwakomoa kwa kuwapa chakula. Ni sawa na wale omba omba wanaokuomba hela ukiwa hotelini unakula, wakidai wanaomba hela wanunue chakula, na wewe ukaamua kuwanunulia chakula wale. Huwa hawafurahi kabisa. Mjue uchaguzi ni mwakani, CCM inahaha kutafuta pesa ya kampeni. Pesa ya DP World inaweza isitosheleze kugharamia kampeni za CCM kama walivyowaahidi.

Fact , Bora wawe wanafanya hivi kuliko kutoa PESA na zikaishia katika mikono ya WATU wachache.
 
Not everybody is after you..watoto wenu Wana utapia mlo bado mnaleta kiburi?
 
Kitu ambacho hukijui hata mafuta, sembe , ngano za wazalishaji wakubwa kama mo, bakhresa na wengine nazo zina vurutubishi vilvyoongezwa na havitengenezwi hapa vinanunuliwa germany. We angalia hizo bidhaa utaona logo ya fortification.
So kama lengo ni kutumaliza basi hawakuanza sasa hivi wameanza zamani na kama kutuniza hata hawana haja ya kutunaliza kwa kututangazia kuwa wanatuletea chakula, wana njia nyingi tu maana karibu vifaa tiba vyote vinatoka nje.

Kwanza ni ujinga na uwongo kuwa eti kwenye vyakula vinawekwa vitu vya kuwamaliza waafrika. Huo ni uwongo wa hali ya juu. Hizo ni fikra za kipumbavu kutoka kwa wapumbavu. Hivi hao waafrika wakipungua Duniani, huyo mzungu anafaidikaje? Wamarekani na wazungu wa European countries wamekuwa na uhusiano mbaya na Russia kwa miaka mingi, lakini hawajawahi kuacha kununua chakula toka Russia kwa kuogopa kupewa chakula chenye hatari za kiafya. Nchi za kiarabu miaka yote zinapokea vyakula toka US. USA ndiyo nchi pekee inayoongoza kutoa msaada mingi, mpaka chakula kwa Wapalestina kwa miaka yote.

Ni kweli kwamba kuna baadhi ya tekinolojia za uboreshaji mbegu za mazao, yawezekana zina mchango katika kuongezeka kwa magonjwa kama kisukari, high Blood Pressure au hata cancer, lakini siyo kweli kabisa kuwa eti zimefanywa hivyo kwaajili ya kuwalenga waafrika. Kama ni madhara, hata wao wenyewe wanayapata kwa kula vyakula hivyo hivyo.

Hivi karibuni kuna tafiti zimeanza kuangalia uhusiano wa ugonjwa wa kisukari na mbegu ziluzoboreshwa za ngano. Wanasema kuwa mgonjwa wa kwanza wa kisukari alianza kupatikana baada ya uboreshaji wa mbegu za ngano, siyo huu wa genetics bali ule wa kawaida wa crossbreeds, ambao hata sisi tu autumia katika kupata mbegu bora za mahindi na mifugo.

Hicho chakula ni neema kwa baadhi ya familia, hasa zile ambazo ni duni kupindukia, na hawana msaada wowote toka kwa yeyote. Tena afadhali wameleta chakula kuliko watoe pesa zikaibiwe na CCM, zipelekwe kwenye uchaguzi au zikawanufaishe watawala. Pesa nyinhi za misaada, zinaibiwa na wenye uwezo wa kuzifikia kwa namna tofauti tofauti.
 
Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..

Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?

Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?

Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.

Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..

Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.

Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..

Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.

Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.

View attachment 2935710
Wangetaka kutumaliza wangefanya hivyo kupitia chanjo za watoto,dawa za kufubaza virusi vya ukimwi,dawa mbalimbali za kutibu magonjwa,simu za mkononi,nk.hivyo ondoa wasiwasi .maana wasiwasi mwingine uleta ujinga machoni pawatu kama tulivogoma KUPATA chanjo ya COVID tukihofia kuhujumiwa wakati huohuo tunafakamia sawa za kufubaza virusi vya ukimwi,dawa za malria,sawa za BP nk
 
Hatuna Ukame, hatuna Vita wala sisi sio Wakimbizi.

Watufungulie miradi ya Irrigation Schemes tulime sisi wenyewe Mahindi ni Miezi minne tu tunavuna.
Waache wakufindishe Sasa wewe unayeshinda kijiweni kila siku. Huna Hana shamba moja ya mahindi halafu hutaki msaada? Basi we utakuwa chizi. Ni sawa na jpm aliyekuwa anaitangazia dunia kwamba Tanzania ni tajiri huku watu wanakufa kila siku kwa utapia mlo. Angekuwa Bado yupo nahakika mizoga ya watu barabarani ingekuwa mingi kwa ujinga wake wa kujijari yeye tu
 
ISIJE KUWA HUO MCHELE WAMESHAWEKA MADAWA YAO YA KUWAFANYA WATOTO WALIO SHULE. KUWA NA HAIBA YA USHOGA ?MANA HAWA WAZUNGU SIO WATU WA KUWAAMINI

Mawazo ya kijinga kweli.

Na kwenye barabara wanazowajengea huwa wamewawekea nini ili muwe mashoga? Na kwenye umeme waliowasambazia vijijini wameweka nini kwenye nyaya (maana 80% ya gharama ya usambazaji umeme vijijini ilijengwa na pesa ya MCC)? Na hizo machine za dialysis na CT scan mnazopewa, huwa wameweka nini ili muwe mashoga? Na kwenye dawa za chanjo, kifua kikuu, cancer na HIV mnazopewa huwa mmewekewa nini ili muwe mashoga? Wewe kwa kutumia hizo barabara walizowajengea, umeshageuka kuwa shoga? Ukiwa shoga, umekuwa shoga kwa mapenzi yako, usitoe visingizio vya misaada toka nje kulinda tabia yako ya hovyo.
 
Hakuna heri chini ya uongozi wa mwanamke hata wangereta hela zingeishia ikulu kununua shanga za kiunoni za dhahabu na almas na kununua vyupi vya halili kutoka dubai
Uwe na adabu boss, hapo unapitiliza.
 
Utapiamlo ni shida kubwa ya nchi wala sio Dom, tuna chronic malnutrition ndio maana tunafanana wote tu! Awe profesa au mtawala hana tofauti na mzee wangu kule mbwilike ambaye hajui hata kusoma hela. Hatuna kitu tunafanya vizuri iwe michezo across all fields hadi uchungaji na ulokole wetu ni tofauti sana na dunia
Kuna mtu anatembelea v8 ya mil 500 wakati angweza kutembelea prado ya mil 150.
 
Wangetaka kutumaliza wangefanya hivyo kupitia chanjo za watoto,dawa za kufubaza virusi vya ukimwi,dawa mbalimbali za kutibu magonjwa,simu za mkononi,nk.hivyo ondoa wasiwasi .maana wasiwasi mwingine uleta ujinga machoni pawatu kama tulivogoma KUPATA chanjo ya COVID tukihofia kuhujumiwa wakati huohuo tunafakamia sawa za kufubaza virusi vya ukimwi,dawa za malria,sawa za BP nk
Hizo chanjo zimesha anza kufanya kazi.. matatizo kibao.. hormon balance ni issue siku hizi, watoto wa kiume kurembua kama mwanawamali wa pemba sio poa
 
Wewe toa hata tani 1

Kama umeahiba kuna watu wana uhitaji na chakula
Kama wewe mwanaume rijari utaridhika familia yako ilishwe na wanaume wenzio?
Sasa hiyo ndio serikali yetu haioni aibu wala soni nchi yenye ardhi yenye rutuba kulishwa mahindi ya ngombe toka marekani!! Huku Samia kazi kutalii na Dreamliner na wabunge nao wanataka wanunuliwe ndege yao!! Nchi inaongozwa na vichaa hii.
 
Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..

Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?

Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?

Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.

Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..

Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.

Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..

Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.

Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.

View attachment 2935710
Wanadump akiba yao karibu ku expire ya chakula na pia kuwadhalilisha kisaikolojia kwamba hamuwezi kujilisha. Sasa sisi tayari tumeweza kujilisha na tuna akiba ya kutosha ya chakula. Tatizo ukiwa na viongozi aina ya kina bashe na kipara wanaohusudu njia za marekani hawawezi kuona nia ovu marekani kukazana kutupa chakula cha bure licha kwamba hatuna njaa.
 
Waziri wa kilimo kasema nchi Ina chakula kingi cha kutosha kulisha watz wote mpk ziada ya misimu kadhaa hata tusipolima, nadhani huu msaada sasa hauhusu njaa na wala mahitaji, ni zawad tuseme maana mgeni anaweza kukuletea zawad ya kitu chochote hata ambacho unacho, Mimi mara nyingi napewa zawad ya kuku nà marafiki zangu wakati nafuga kuku kuliko wao. Mambo ya usalama tuwaaçhie usalama, wanajua kazi yao.
 
Back
Top Bottom