Popote ulipo tafuta branch ya hizo kampuni au wauzaji wa kampuni(Sales team)au mawakala wao watakupa utaratibu.Naomba msaada kwa mwenye kujua watu wanao husika na utoaji wa haya mafriji ya vinywajk ya kampuni.
COCACOLA
PEPSI
BEER
Nayahitaji kwa hali na Mali naomba msaada ili niweze fungua biashara ninayoitamani kwa kuanza nayo hayo kisha baadae nitaweka yangu binafsi.
Kuna wengine wanatoa ma Freezer kwa ajili ya kuweka ICE CREAM utaratbu ni ule ule unanunua mzigo kujaza friji lako kisha friji wanakupa bure.
MSAADA...
ULIkIuka terms and conditionsNiliwahi kujaza pepsi kwenye fridge ya Cocacola jamaa wakaja kuniletea noma nikawashikia panga sahivi sina connection ya hizo friji
Ulichemsha!panga la kazi Gani hujui kujieleza?Niliwahi kujaza pepsi kwenye fridge ya Cocacola jamaa wakaja kuniletea noma nikawashikia panga sahivi sina connection ya hizo friji
Ungewambia tu gari lao halijapita muda mrefu na duka unalochukuliaga mzigo wamefunga...sound tu wanakuelewaNiliwahi kujaza pepsi kwenye fridge ya Cocacola jamaa wakaja kuniletea noma nikawashikia panga sahivi sina connection ya hizo friji
Nilitaka nimtembezee kichapo mmoja ili moyo wangu uridhikeUlichemsha!panga la kazi Gani hujui kujieleza?
Yapo mkuu ongea na mawinga vizuri Cc ephen_Kule wanadai yameisha kwasasa ila naskia yapo ukipata mtu wa ndaniiiiiii
ππππMsaidie kijanaMkuu sijui chochote kwenye suala ulilouliza, ningekua najua ningesema bila kuhitaji chochote