Msaada wa Connection Ma Friji ya Kampuni

Mkuu vizuri pia ungesema upo wapi.

Ili iwe rahisi. Maana kila mkoa una wataalam wake.

Mtu anaweza kukusawazishia kumbe yeye wa Masasi. Dar maji marefu kwake.
 
Niliwahi kujaza pepsi kwenye fridge ya Cocacola jamaa wakaja kuniletea noma nikawashikia panga sahivi sina connection ya hizo friji
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Utaweza Vita ya Pepsi na Coca-Cola, au ushawahi kushuhudia vita yao au hata kusimuliwa?

Nenda kwenye Branches zao wakupe utaratibu
 
Nenda kwa kampuni mwenyewe achana na madalali.
 
Hizo friji zinakunywa umeme jibane ununue yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…