Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Sijakuzingua. Nisiseme ukweli?Acha kunizingua!
Nishajua pa kukukamatia huo mdomo niufumbe kabisaSijakuzingua. Nisiseme ukweli?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Niliwahi kujaza pepsi kwenye fridge ya Cocacola jamaa wakaja kuniletea noma nikawashikia panga sahivi sina connection ya hizo friji
Wapi hapo?Nishajua pa kukukamatia huo mdomo niufumbe kabisa
Nitakuja kutambulishwa na jr uniite mkwe mdomo huo mrefu ukatike!Wapi hapo?
Jr ndiyo kwanza yupo Form five, akupeleke wapi libibi kama wewe?Nitakuja kutambulishwa na jr uniite mkwe mdomo huo mrefu ukatike!
Nenda kwa kampuni mwenyewe achana na madalali.Naomba msaada kwa mwenye kujua watu wanao husika na utoaji wa haya mafriji ya vinywajk ya kampuni.
COCACOLA
PEPSI
BEER
Nayahitaji kwa hali na Mali naomba msaada ili niweze fungua biashara ninayoitamani kwa kuanza nayo hayo kisha baadae nitaweka yangu binafsi.
Kuna wengine wanatoa ma Freezer kwa ajili ya kuweka ICE CREAM utaratbu ni ule ule unanunua mzigo kujaza friji lako kisha friji wanakupa bure.
MSAADA...
Hizo friji zinakunywa umeme jibane ununue yakoNaomba msaada kwa mwenye kujua watu wanao husika na utoaji wa haya mafriji ya vinywajk ya kampuni.
COCACOLA
PEPSI
BEER
Nayahitaji kwa hali na Mali naomba msaada ili niweze fungua biashara ninayoitamani kwa kuanza nayo hayo kisha baadae nitaweka yangu binafsi.
Kuna wengine wanatoa ma Freezer kwa ajili ya kuweka ICE CREAM utaratbu ni ule ule unanunua mzigo kujaza friji lako kisha friji wanakupa bure.
MSAADA...
Huwezi pata fridge ya pepsi kwa kwenda kiwandan kwao, hata hivyo hutoruhusiwa kuingia ndani.Nenda kwa kampuni mwenyewe achana na madalali.
Sio kweliHizo friji zinakunywa umeme jibane ununue yako
Hapa dj wa redio Imani alijichanganya akapiga ngoma za Rose MuhandoNiliwahi kujaza pepsi kwenye fridge ya Cocacola jamaa wakaja kuniletea noma nikawashikia panga sahivi sina connection ya hizo friji
Nenda ofisini kwakeNaomba connection mkuuu ndio kitu natafuta kwa kufungua huu uzi
SawaSio kweli