Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hospitali wamekupa dawa gani?Habari Ndugu,
Mara nyingi nimekuwa nasumbuliwa na muwasho kwenye kichwa cha Uume , Nikipima mkojo naambiwa fangasi nyingi kwenye mkojo. Je, Dawa yake nini?
Rudi tena hospitaliNimetumia Dawa Ya fluconazole ,tube za kupaka lakini Wapi ila siku hizi mbili nimeanza kuona vidonda kwa korodani vina majimaji sijajua nataka nirudi tena hospital
Vidonda vya maji vinavyowasha kwa utamu, au ni vidonda vinavyouma?Nimetumia Dawa Ya fluconazole ,tube za kupaka lakini Wapi ila siku hizi mbili nimeanza kuona vidonda kwa korodani vina majimaji sijajua nataka nirudi tena hospital
Habari Ndugu,
Mara nyingi nimekuwa nasumbuliwa na muwasho kwenye kichwa cha Uume , Nikipima mkojo naambiwa fangasi nyingi kwenye mkojo. Je, Dawa yake nini?