Msaada wa dawa ya fungus kwenye vidole vya miguu

Msaada wa dawa ya fungus kwenye vidole vya miguu

Davidmmarista

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,367
Reaction score
2,451
Anayejua dawa ya fungus anisaidie tafadhali
IMG_20241111_093515_291.jpg
 
Anayejua dawa ya fungus anisaidie tafadhali
Listerine mouthwash kifuniko,vinegar kifuniko na maji moto kiasi kisha loweka miguu yako kwa dk zisizo pungua 10 kwa wiki mbili leta mrejesho.Unaweza baada ya kukausha miguu ukaweka listerine kwenye pamba na kupaka hizo sehemu zilizo athirika.
 
Listerine mouthwash kifuniko,vinegar kifuniko na maji moto kiasi kisha loweka miguu yako kwa dk zisizo pungua 10 kwa wiki mbili leta mrejesho.Unaweza baada ya kukausha miguu ukaweka listerine kwenye pamba na kupaka hizo sehemu zilizo athirika.
Ngoja nitafanya hivyo mkuu
 
Anza kutibu chanzo, miguu yako inatoa jasho sana na kuvifanya vidole vyako viwe na unyevu hadi fangasi kuota,, Kujitibu ukimaliza kuoga vuta vidole hakikisha havibaki na maji kabisaaaa yaani viwe vikavu halafu pendeleaa kuvaa viatu vya wazi hadi upone gonjwa lako ukilazimika kuvaa vya kufunika bhasi weka kitunguu au chumvi ndani ya kiatu na ukipata nafasi anika miguu hiyo nje
 
Acha kuvaa soksi zenye ubaridi
au kuiweka miguu sehemu zenye unyevunyevu pia tafuta tube ya antifungal kama Clotrimazole upake( tube za antifungal ni nyingi )
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Anza kutibu chanzo, miguu yako inatoa jasho sana na kuvifanya vidole vyako viwe na unyevu hadi fangasi kuota,, Kujitibu ukimaliza kuoga vuta vidole hakikisha havibaki na maji kabisaaaa yaani viwe vikavu halafu pendeleaa kuvaa viatu vya wazi hadi upone gonjwa lako ukilazimika kuvaa vya kufunika bhasi weka kitunguu au chumvi ndani ya kiatu na ukipata nafasi anika miguu hiyo nje
Itabidi nifanye hivyo mkuu
 
Anayejua dawa ya fungus anisaidie tafadhali
Cha kwanza jitahidi kila ukioga au ukinawa hakikisha unafuta maji na huachi kabisa katikati ya vidole

Then tafuta tube ya kupakaa ili kuondoa maambukizi

Ukiweza epuka viatu kwa muda ila ukishindwa kwa sababu moja au nyingine basi unaweza kupakaa hivyo hivyo na viatu

Itakusaidia sana, ila jitahidi sana kila ukioga hakikisha unapitisha taulo ndani ya vidole ili kufuta maji
 
Tumia hii candid b cream na vidonge vya fluconazole tab/caps
Screenshot_20241111-151104.png


Au
Tumia terbinafine cream na fluconazole tabs/caps
Screenshot_20241111-151413.png
 
All the Best kwa tiba ulizotajiwa hapo juu
 
Back
Top Bottom