Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata siyo overdose, kama ni Adult haina shida, Ndo maana Hiyo ant- allergy nimetoa kimoja kimoja per day.Opps...i feel hii ni heavy dose sana? Maana griseofluvin tabs 500mg tu ni mziki...
PowaaAsante boss 🤝🤝🤝
Atalia sana😂Listerine mouthwash kifuniko,vinegar kifuniko na maji moto kiasi kisha loweka miguu yako kwa dk zisizo pungua 10 kwa wiki mbili leta mrejesho.Unaweza baada ya kukausha miguu ukaweka listerine kwenye pamba na kupaka hizo sehemu zilizo athirika.
Ila vidole vya miguu navyo....halafu wote tupo hivyo sijui kwa niniAnayejua dawa ya fungus anisaidie tafadhali
View attachment 3149214
Hii ni temporary solutionTafuta mycota powder au cream