Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Tumia zeypoghziphriasm gm50 ipo vzr sana hatohitaj hata kusafishwaWakuu, sheria inasema anayetoa au kutolewa mimba wote hao wanaweza kukabiliwa na kifungo cha mpaka miaka 7+ jela.
Mimi kwenye harakati za kupitapita nilipita sehemu isiyopitika, nikakutana na kitoto cha watu nikajilia vyangu.
Kitoto kilianza kuumwa umwa tukajua jambo la kawaida, sasa leo tumepima kitoto kina mimba ya miezi mitatu.
Sasa naombeni dawa ya kutoa mimba, iwe ya kienyeji au ya kwenda kununua dukani.
Mimi na kitoto tumesha yamaliza tuitoe.
Maana siyo mimi au yeye anayekula chakula kikashuka.
Msitoe hiyo Mimba.Wakuu, sheria inasema anayetoa au kutolewa mimba wote hao wanaweza kukabiliwa na kifungo cha mpaka miaka 7+ jela.
Mimi kwenye harakati za kupitapita nilipita sehemu isiyopitika, nikakutana na kitoto cha watu nikajilia vyangu.
Kitoto kilianza kuumwa umwa tukajua jambo la kawaida, sasa leo tumepima kitoto kina mimba ya miezi mitatu.
Sasa naombeni dawa ya kutoa mimba, iwe ya kienyeji au ya kwenda kununua dukani.
Mimi na kitoto tumesha yamaliza tuitoe.
Maana siyo mimi au yeye anayekula chakula kikashuka.
Usiseme hutaki kuolewa, Sema hupati wa kukuoa.Ndio maana sitaki kuolewa na watoto vivija a vilivyobalehe juzi .
Sasa mnaishi wote na hamtaki watoto wenzenu mwaka 7 na hawapati mtoto mfungwe wote au unatutania
Kulea mimba ni dawa nzuri zaidi.Unapendekeza dawa ipi?
Mwaya huna akili nani kasema naingiliwa naingiliwa kwani kulalana nilazima?Usiseme hutaki kuolewa, Sema hupati wa kukuoa.
hakuna mwanamke anayekataa kuolewa!
labda uwe malaya, au ulishaolewa ndoa ikakushinda.
lazima kwanza uoelewe, halafu yakikushinda ndipo unaanza mambo kama haya yako eti hutaki kuoelewa, wakati kila siku unaingiliwa.
Misoprosto inagoma???Mkuu, hizo za vitoto vidogo hua zinagoma kutoka. Naona umeshauriwa dawa huko juu, lakini most times hyo dawa hua inadunda kwa sababu mbalimbali.
Dawa zingine zipo lakn sitoshauri maana n kosa. We lea tu. Akizaliwa utajilaumu kqanin ulifikiri kuitoa. Ukimbeba utaona raha zaidi ya hilo goli lako la ki sniper
Inagoma na ni kawaida, ukifanya induction of labor inaweza kufail na ikifail unarudia tena au option nyingne unaweza kufanya evacuation. AsanteMisoprosto inagoma???
Tumia folic acid wengi imewaletea matokeo chanya.Wakuu, sheria inasema anayetoa au kutolewa mimba wote hao wanaweza kukabiliwa na kifungo cha mpaka miaka 7+ jela.
Mimi kwenye harakati za kupitapita nilipita sehemu isiyopitika, nikakutana na kitoto cha watu nikajilia vyangu.
Kitoto kilianza kuumwa umwa tukajua jambo la kawaida, sasa leo tumepima kitoto kina mimba ya miezi mitatu.
Sasa naombeni dawa ya kutoa mimba, iwe ya kienyeji au ya kwenda kununua dukani.
Mimi na kitoto tumesha yamaliza tuitoe.
Maana siyo mimi au yeye anayekula chakula kikashuka.
"Miso" ataumwa uchungu kama vile yupo "leba" kwa kibinti hicho nyumbani hapatakalika kwa kilio...kwa wamama nzao ya pili angalau wameishakuwa na uzoefu wa kuvumilia maumivu ya uchunguTafta dawa pharmacy inaitwa misoprostol. Vidonge viwili kimoja anaweka kwenye uke na kingine anaweka kwenye lipsi ya chini mdomoni kama vile ugolo unavyowekwa. Siku hizi watu hawaendi clinic kuonana na dokta kuchokonolewa na mikasi! Tekolojia imerahisishwa. TAHADHARI! UTOAJI MIMBA NI KOSA LA JINAI! UNAWEZA KUTOA TU KWA RUKSA TOKA KWA DAKTARI! UTOAJI MIMBA NI KOSA KISHERIA!. " Do at your own risk!!!!!...."
Miezi mi3 ni risk banah! Jipange tu kulea mi nakutakia kila lililo jema mbele yako na familia yakoWakuu, sheria inasema anayetoa au kutolewa mimba wote hao wanaweza kukabiliwa na kifungo cha mpaka miaka 7+ jela.
Mimi kwenye harakati za kupitapita nilipita sehemu isiyopitika, nikakutana na kitoto cha watu nikajilia vyangu.
Kitoto kilianza kuumwa umwa tukajua jambo la kawaida, sasa leo tumepima kitoto kina mimba ya miezi mitatu.
Sasa naombeni dawa ya kutoa mimba, iwe ya kienyeji au ya kwenda kununua dukani.
Mimi na kitoto tumesha yamaliza tuitoe.
Maana siyo mimi au yeye anayekula chakula kikashuka.