Msaada wa Dawa ya kutoa mimba ya miezi mitatu

Msaada wa Dawa ya kutoa mimba ya miezi mitatu

Status
Not open for further replies.
Wakuu, sheria inasema anayetoa au kutolewa mimba wote hao wanaweza kukabiliwa na kifungo cha mpaka miaka 7+ jela.

Mimi kwenye harakati za kupitapita nilipita sehemu isiyopitika, nikakutana na kitoto cha watu nikajilia vyangu.

Kitoto kilianza kuumwa umwa tukajua jambo la kawaida, sasa leo tumepima kitoto kina mimba ya miezi mitatu.
Sasa naombeni dawa ya kutoa mimba, iwe ya kienyeji au ya kwenda kununua dukani.
Mimi na kitoto tumesha yamaliza tuitoe.
Maana siyo mimi au yeye anayekula chakula kikashuka.
Tumia zeypoghziphriasm gm50 ipo vzr sana hatohitaj hata kusafishwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada ukumbusho endapo utatumia hizo njia na ikagoma kutoka
•kwanz huyo binti anaweza poteza damu ya nyingi san hivyo kumpelekea kufa na "shock", kama kuna nyama zitabaki tumboni damu haikati.

•kupata infections(bacteria) hawa pia wataenda kuishi kwenye zile nyama zilizobaki hivyo huenda wakaingia katika sehemu zingine za mwili(systemic effect) hasa kwenye damu na kusababisha shock nyingine( septic shock) mwisho kifo.

•gharama ya kusafisha na matibabu kwa ujumla kama mimba itagoma kutoka ujue ni zaidi ya laki na hamsini.

•utoaji mimba kiholela unamuweka huyo binti katika hatari ya kutopata mimba tena.


Utoaji mimba umehalalishwa pale tu:
•kama ujauzito ukiendelea kukua utamletea madhara ya kiafya ya muda mrefu mama mjazito
•mtoto kama atazaliwa ataonekana kupatwa na tatizo litakalompa mateso ya kuishi.
•kama mwanafunzi alibakwa na kufanyiwa ukatili na ikalazimu kuitoa.

Kila la kheri mkuu.
 
Ndio maana sitaki kuolewa na watoto vivija a vilivyobalehe juzi .
Sasa mnaishi wote na hamtaki watoto wenzenu mwaka 7 na hawapati mtoto mfungwe wote au unatutania
 
Wakuu, sheria inasema anayetoa au kutolewa mimba wote hao wanaweza kukabiliwa na kifungo cha mpaka miaka 7+ jela.

Mimi kwenye harakati za kupitapita nilipita sehemu isiyopitika, nikakutana na kitoto cha watu nikajilia vyangu.

Kitoto kilianza kuumwa umwa tukajua jambo la kawaida, sasa leo tumepima kitoto kina mimba ya miezi mitatu.
Sasa naombeni dawa ya kutoa mimba, iwe ya kienyeji au ya kwenda kununua dukani.
Mimi na kitoto tumesha yamaliza tuitoe.
Maana siyo mimi au yeye anayekula chakula kikashuka.
Msitoe hiyo Mimba.

Muache azae mle mtoto.

Unaweza ukakuta ndio nafasi pekee Mungu kawapa ya ninyi kuwa Baba/Mama.

Kuna watu walitoaga, leo wanalia usiku kucha.
 
Kweli kuna binadamu ambao upeo wao wa kufikir n mdogo Sana wanaume wameisha
 
Ndio maana sitaki kuolewa na watoto vivija a vilivyobalehe juzi .
Sasa mnaishi wote na hamtaki watoto wenzenu mwaka 7 na hawapati mtoto mfungwe wote au unatutania
Usiseme hutaki kuolewa, Sema hupati wa kukuoa.
hakuna mwanamke anayekataa kuolewa!
labda uwe malaya, au ulishaolewa ndoa ikakushinda.
lazima kwanza uoelewe, halafu yakikushinda ndipo unaanza mambo kama haya yako eti hutaki kuoelewa, wakati kila siku unaingiliwa.
 
Tafta dawa pharmacy inaitwa misoprostol. Vidonge viwili kimoja anaweka kwenye uke na kingine anaweka kwenye lipsi ya chini mdomoni kama vile ugolo unavyowekwa. Siku hizi watu hawaendi clinic kuonana na dokta kuchokonolewa na mikasi! Tekolojia imerahisishwa. TAHADHARI! UTOAJI MIMBA NI KOSA LA JINAI! UNAWEZA KUTOA TU KWA RUKSA TOKA KWA DAKTARI! UTOAJI MIMBA NI KOSA KISHERIA!. " Do at your own risk!!!!!...."
 
Usiseme hutaki kuolewa, Sema hupati wa kukuoa.
hakuna mwanamke anayekataa kuolewa!
labda uwe malaya, au ulishaolewa ndoa ikakushinda.
lazima kwanza uoelewe, halafu yakikushinda ndipo unaanza mambo kama haya yako eti hutaki kuoelewa, wakati kila siku unaingiliwa.
Mwaya huna akili nani kasema naingiliwa naingiliwa kwani kulalana nilazima?

Wewe ni malaya kwa maana ungekuwa sio malaya unaetaka kuchovya chovya asali za watoto wawatu ungeoa nakutulia.

Pili hujitambui ungejitambua ungekuwa na akili ya kumuoa huyo binti na ulee huyo mtoto.

Tatu wewe ni muuaji ungekuwa sio muaji usingekubali mtoto atolewe tena ni damu yako.

Wewe unaroho mbaya unapenda kuchezea watoto wawatu tu kwa shida zako kila unayemjaza unashiriki kutoa mimba ipo siku utakumbuka na kujutia hunijui so sina presha na unajuaje sipati

Hiloo hata haya huna unaua kiumbe hakijakufanyia lolote
 
Hiyo laana utaibeba mpaka kuzimu bro![emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]acha azae Mungu ana makusudi yake ndg yangu
 
Mkuu, hizo za vitoto vidogo hua zinagoma kutoka. Naona umeshauriwa dawa huko juu, lakini most times hyo dawa hua inadunda kwa sababu mbalimbali.
Dawa zingine zipo lakn sitoshauri maana n kosa. We lea tu. Akizaliwa utajilaumu kqanin ulifikiri kuitoa. Ukimbeba utaona raha zaidi ya hilo goli lako la ki sniper
 
Mkuu, hizo za vitoto vidogo hua zinagoma kutoka. Naona umeshauriwa dawa huko juu, lakini most times hyo dawa hua inadunda kwa sababu mbalimbali.
Dawa zingine zipo lakn sitoshauri maana n kosa. We lea tu. Akizaliwa utajilaumu kqanin ulifikiri kuitoa. Ukimbeba utaona raha zaidi ya hilo goli lako la ki sniper
Misoprosto inagoma???
 
Wakuu, sheria inasema anayetoa au kutolewa mimba wote hao wanaweza kukabiliwa na kifungo cha mpaka miaka 7+ jela.

Mimi kwenye harakati za kupitapita nilipita sehemu isiyopitika, nikakutana na kitoto cha watu nikajilia vyangu.

Kitoto kilianza kuumwa umwa tukajua jambo la kawaida, sasa leo tumepima kitoto kina mimba ya miezi mitatu.
Sasa naombeni dawa ya kutoa mimba, iwe ya kienyeji au ya kwenda kununua dukani.
Mimi na kitoto tumesha yamaliza tuitoe.
Maana siyo mimi au yeye anayekula chakula kikashuka.
Tumia folic acid wengi imewaletea matokeo chanya.

NB: Usiwe na haraka huwa inafanya kazi taratibu ila ni very efficient.& Effectively
 
Tarehe kama hizi watumishi wa serikali mishahara imeishakata Wana njaa balaa....usiogope mikoti yao myeupe nenda kituo cha afya cha serikali mwambie mtumishi wa afya shida yako ..40,000/= haizidi ndani ya dk 20 mimba imetolewa kwenye mazingira safi na salama pia utapewa dawa za kuzuia uambukizi na maumivu!
 
Tafta dawa pharmacy inaitwa misoprostol. Vidonge viwili kimoja anaweka kwenye uke na kingine anaweka kwenye lipsi ya chini mdomoni kama vile ugolo unavyowekwa. Siku hizi watu hawaendi clinic kuonana na dokta kuchokonolewa na mikasi! Tekolojia imerahisishwa. TAHADHARI! UTOAJI MIMBA NI KOSA LA JINAI! UNAWEZA KUTOA TU KWA RUKSA TOKA KWA DAKTARI! UTOAJI MIMBA NI KOSA KISHERIA!. " Do at your own risk!!!!!...."
"Miso" ataumwa uchungu kama vile yupo "leba" kwa kibinti hicho nyumbani hapatakalika kwa kilio...kwa wamama nzao ya pili angalau wameishakuwa na uzoefu wa kuvumilia maumivu ya uchungu
 
Wakuu, sheria inasema anayetoa au kutolewa mimba wote hao wanaweza kukabiliwa na kifungo cha mpaka miaka 7+ jela.

Mimi kwenye harakati za kupitapita nilipita sehemu isiyopitika, nikakutana na kitoto cha watu nikajilia vyangu.

Kitoto kilianza kuumwa umwa tukajua jambo la kawaida, sasa leo tumepima kitoto kina mimba ya miezi mitatu.
Sasa naombeni dawa ya kutoa mimba, iwe ya kienyeji au ya kwenda kununua dukani.
Mimi na kitoto tumesha yamaliza tuitoe.
Maana siyo mimi au yeye anayekula chakula kikashuka.
Miezi mi3 ni risk banah! Jipange tu kulea mi nakutakia kila lililo jema mbele yako na familia yako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom