Msaada wa Dawa ya kutoa mimba ya miezi mitatu

Msaada wa Dawa ya kutoa mimba ya miezi mitatu

Status
Not open for further replies.
Tunawekaa mashedy piaa
KARIBU VUNJA BEI WORKSHOP GOBAA




Usitoee mimba n dhambii!!!!
IMG_20220904_183702.jpg
 
Usijaribu kutumia ya kienyeji utajuta ikigoma kutoka hapo chakukusaidia tumia vidonge vya Misoprostol inauezo wa kutoa mimba ya wiki kati ya 10-13

Ni uhakika na itakugarimu 70000/-
Hiyo dawa inasafisha na tumbo?
 
Ni binti tayari naishi naye.
Isitoshe hata yeye hayuko tayari kuzaa.
Kama hamkuwa tayari kuzaa kwa nini mlifanya ngono?
Kwa nini msitumie kinga. Kwa nini asitumie uzazi wa mpango. Kwa nini msizini siku isiyokuwa ya hatari.
Au kama wewe unapenda zinaa na hutaki watoto sana kwa nini usiende ukahasiwa ( yaani male sterilization)


Huwezi kushika mkaa wa moto na mikono alafu usikuunguze.


Kosa moja huzaa lingine. Mlikua na option nyingi sana kabla ya kuleta tamaa zenu ziwatawale.


Wahenga wanasema tamaa mbele mauti nyuma. Mlitanguliza mihemko kama ya fisi aliyeona bucha. Sasa mauti inawafatilia wote aidha huyo mwanamke mpumbavu, au hiko kiumbe kisicho na hatia au wewe mwenyewe au wote kwa pamoja.


Mkuu siku ingine fikiri kabla ya kutenda usiache icho kichwa kidogo kikuamulie maisha tumia hiko kikubwa.
 
Kwenye kutoa, kuna matatu;
  • kufa
  • Kupona na kubaki na tatizo jingine
  • kupona kabisa
Asitoe mimba; ogopa maradhi usiogope mimba
 
ASANTE.

NAONA UMESHIKA ADABU SASA.

ENDELEA HIVYO HIVYO NA UACHANE NA ULE UPUMBAFU WA KUWASHAURI WATU KUUA WATOTO.

ALAAH! ATI TUMIA VIDONGE.. KHEE[emoji2]

UNGEKUWA KARIBU NINGEKUTANDIKA MAKOFI KWELI KWELI.
Kupiga punyeto =kutumia P2=kuweka vitanzi=kutoa mimba =Kutumia Condom Aim ni moja kuondoa uhai Kaa ukijua hivyo punguza kujifanya baba paroko
 
1. Uasherati,

2. Mimba hua inakataliwa kwa asiye na future na familia.

3. Mtoto akataliwi akizaliwa tu shangwe.

4. Hapo kuna mauaji, kupata shida ya uzazi kwa binti, kupona.

-Binti yangu atapata laana yangu akijaribu tu kutoa mimba na afe.

-Kijana wangu wa kiume akijaribu kutolesha mimba na awehuke milele.
5. Hakuna mimba ya bahati mbaya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom