jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,983
- 10,034
Usithubutu kufanya huo ujinga, utaku cost sana hapo baadae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie huyo kijana.Amuulize Wema.Usithubutu kufanya huo ujinga, utaku cost sana hapo baadae
Majuto ya kutoa ni makubwa kupita kwaida, na furaha ya kuzaa ni kubwa haipimikiMwambie huyo kijana.Amuulize Wema.
Hiyo dawa inasafisha na tumbo?Usijaribu kutumia ya kienyeji utajuta ikigoma kutoka hapo chakukusaidia tumia vidonge vya Misoprostol inauezo wa kutoa mimba ya wiki kati ya 10-13
Ni uhakika na itakugarimu 70000/-
Kama hamkuwa tayari kuzaa kwa nini mlifanya ngono?Ni binti tayari naishi naye.
Isitoshe hata yeye hayuko tayari kuzaa.
Upo mtani?Wew sio mwanaume na hujakomaa...
Mwanaume anakubali na kubaba the outcomes of his actions....
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mimi nimempa tu angalizo aende kituo cha afya.Kwahiyo UNASHAURI MAUAJI?
INCITING MURDER??
Hatushauriani mauaji hapa, hapa tunashauriana kuhusu mimba zisizo tarajiwa.Kwahiyo UNASHAURI MAUAJI?
INCITING MURDER??
Huko ndio kuna wataalam watampa ushauriKITUO CHA AFYA AU KITUO CHA MAUAJI?
KUNA AFYA GANI KWENYE KUUA MTU?
Kupiga punyeto =kutumia P2=kuweka vitanzi=kutoa mimba =Kutumia Condom Aim ni moja kuondoa uhai Kaa ukijua hivyo punguza kujifanya baba parokoASANTE.
NAONA UMESHIKA ADABU SASA.
ENDELEA HIVYO HIVYO NA UACHANE NA ULE UPUMBAFU WA KUWASHAURI WATU KUUA WATOTO.
ALAAH! ATI TUMIA VIDONGE.. KHEE[emoji2]
UNGEKUWA KARIBU NINGEKUTANDIKA MAKOFI KWELI KWELI.
The father of all snipers ...na umelenga kweli🤝Msaada wenu wakuu