Msaada wa duka la Vito vya thamani Iringa

Msaada wa duka la Vito vya thamani Iringa

Dodoma leo

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2021
Posts
1,336
Reaction score
1,658
Wakuu naomba kupata location ya Duka linalouza Vito vya thamani Kama pete za gold hapa Iringa. Kwani nimezunguka nakutana na masonara tu.. nami cna utaalam sana.

Maduka mengi naamini yanauza vitu vya uhakika.. Moshi, Arusha maduka yapo mengi au hapa Iringa ni kumalizana na sonaraz tu?
 
Nenda uhindini ukiona Bishoo au muhindi muulize
 
Back
Top Bottom