Basi wewe ni mgeni hii mitaaMh sipafaham
Ana connection kibao hapa mjini ongea nae vizuri Mimi kanisaidia kupata kizimba soko la kisutu saiv nipo nauza vinywaji humu😂Kwanin mkuu wakati ushauri kashatoa😂
Endeleea kuneng'eneka hapo watu ndo tunalipa Kodi hivo😂Mh ya kweli hayo unayoongea?😂
Ndio unitangaze Mkuu , sijapenda 😃😃😃Ana connection kibao hapa mjini ongea nae vizuri Mimi kanisaidia kupata kizimba soko la kisutu saiv nipo nauza vinywaji humu😂
Hii sawa mbona imekaa kimkakati kama vile haijamaliza maswali ..Sawa
Huko eneo bei ganiNipo
Nipo karibu na makumbusho lakin kupata eneo ni changamoto
Huko simpo za wadada naweza pelekaNenda kwenye ofisi za uongozi wa Soko uongee nao utapata tu. Ukiona ni ngumu kupata nenda eneo la Tanganyika Packers kule Kawe. Tena kule utapiga sana hela. Jumanne, jumatano, jumapili itakuwa ni siku ya neema mnoo kwako na ikiwezekana pika na half cake, maandazi na bites bites zingine
Msaidie binti wacha mboyoyo mingiNdio unitangaze Mkuu , sijapenda 😃😃😃
Bado Sina mapafu ya kutoa supportSio lazima yeye😀 hata wew waweza kunisaidia 😀
Mwambie ani PM namba chap kesho nimpe kizimbaMsaidie binti wacha mboyoyo mingi
Ushauri bora wa mwakaNenda kwenye ofisi za uongozi wa Soko uongee nao utapata tu. Ukiona ni ngumu kupata nenda eneo la Tanganyika Packers kule Kawe. Tena kule utapiga sana hela. Jumanne, jumatano, jumapili itakuwa ni siku ya neema mnoo kwako na ikiwezekana pika na half cake, maandazi na bites bites zingine
Awasiliane na kinywanyukuKuna consultant muhimu sijamuona hapa anaweza kuwa na jambo Kalaga Baho Nongwa