Lady ammy
Member
- Sep 10, 2024
- 87
- 175
- Thread starter
- #41
Nishawasiliana nae lakin hatujafikia muafakaAwasiliane na kinywanyuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishawasiliana nae lakin hatujafikia muafakaAwasiliane na kinywanyuku
Simpo za Wadada angalia maeneo ya Mwenge maeneo yaleHuko simpo za wadada naweza peleka
Ni pm tu Mkuu kesho nitakufanyia mchakatoKweli nikupm?
Anaweza akanisaidia?Kuna consultant muhimu sijamuona hapa anaweza kuwa na jambo Kalaga Baho Nongwa
Mtu muhimu sana huyu Mwamba, sema humu asilimia 98 ni matajiri 😅😅😅Kuna consultant muhimu sijamuona hapa anaweza kuwa na jambo Kalaga Baho Nongwa
Humu wote tuna maduka ya simu na migodi ya dhahabu...🤣🤣🤣Mtu muhimu sana huyu Mwamba, sema humu asilimia 98 ni matajiri 😅😅😅
😃😃😃Humu wote tuna maduka ya simu na migodi ya dhahabu...🤣🤣🤣
Nakuaminia dogo lake!😃😃😃
Kesho nitamchekia maana ndio mitaa yangu hii halafu kuna jamaa yangu alifungua goli la Mobile banking kalifunga mle mle sokoni nitampanga kesho.
Mtu yuko zake anapika dagaa wa buku ila ki jeiefu yuko vacation dubai😃😃😃
Ulimwengu wa Jamiiforums ni wa moto sana Dada yangu mpendwa
🙏🙏🙏Nakuaminia dogo lake!
Thank you...I like you😘🙏🙏🙏
Sikukosea kukuchagua uwe na Dada yangu.
Kuna washikaji wameikamata hiyo biashara hapo, jamaa wanapiga sana hela ,sijui wanatumia nini, bonge la foleni kisa juisi! Wale abiria wa Makumbusho watakuwa mashahidi!Maeneo ya Makumbusho stendi
Mbaya sana hii lakini uhalisia huwa unabaki palepale tu. La msingi ni kukazia fikra katika mambo yatakayokusogeza mahali penye kukupa hadhi rather than faking lifeMtu yuko zake anapika dagaa wa buku ila ki jeiefu yuko vacation dubai
I'm deeply happy with you DadaThank you...I like you😘
Ni kweli mkuu pamoja na hayo jamaa wanafanya biashara kwa upendo sana. Ngoja huyu Mdau nimuangalizie chimbo kesho anachotakiwa aje na taste ya kipekee kuwapiga bao maana akiwa mbunifu ataokota sana hela za Madereva, Makondakta, Wapiga debe na vijana wauza Iphone na watengeneza kuchaKuna washikaji wameikamata hiyo biashara hapo, jamaa wanapiga sana hela ,sijui wanatumia nini, bonge la foleni kisa juisi! Wale abiria wa Makumbusho watakuwa mashahidi!
Ukiwa wa tofauti unaweza ukawavua soko lao coz wameanza kuringa, nenda kaonje ladha yao halafu tengeneza yako plus kuboresha mazingira!