Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna washikaji wameikamata hiyo biashara hapo, jamaa wanapiga sana hela ,sijui wanatumia nini, bonge la foleni kisa juisi! Wale abiria wa Makumbusho watakuwa mashahidi!
Ukiwa wa tofauti unaweza ukawavua soko lao coz wameanza kuringa, nenda kaonje ladha yao halafu tengeneza yako plus kuboresha mazingir
Hatari😅😂😂
itabidi nipate kijana mzoefu wa hii kazi ili nimuajiriNi kweli mkuu pamoja na hayo jamaa wanafanya biashara kwa upendo sana. Ngoja huyu Mdau nimuangalizie chimbo kesho anachotakiwa aje na taste ya kipekee kuwapiga bao maana akiwa mbunifu ataokota sana hela za Madereva, Makondakta, Wapiga debe na vijana wauza Iphone na watengeneza kucha
Mh, samahani kama wewe ni mashallah (mrembo) unaweza kuwa sehemu ya kuvutia wateja! Si unajua wakware hawakosi! Unawazuga huku unapiga biashara!itabidi nipate kijana mzoefu wa hii kazi ili nimuajiri
Kukaa kwenye biashara yako ukiwa msafi na haiba ya ucheshi unaongeza mvuto wa biasharaMe sio mzoefu 🙂
Tunaweza kushirikianaBiashara ya juice ya miwa, msaada wa eneo la kufanyia biashara ya juice ya miwa
Kwakwel aje,,hili jua la siku hiz itafaa sanaNjoo mji njombe eneo safi KABISA
Dar es salaam, eneo lipowew upo mkoa gan
Kimara,Tu
Tunaweza kushirikiana usijal upo mkoa gan na Kam upo dar unaishi maeneo gan?