Msaada wa figo.

zeck 9t

New Member
Joined
Jul 21, 2018
Posts
4
Reaction score
1
Habari ndugu wanajamii forums mie ni mgeni humu ila nashukuru kwa topic zenu. Shida yangu kubwa ni kutaka kujua kama endapo mtu unaamua kujitolea msaada figo kwa wagonjwa wenye tatizo, hata kama sio ndugu yako je unatakiwa ufate taratibu gani ili kuwapata walengwa na inawezekana kufanya hivyo? Na athari zake ni zipi pindi ufanyapo hivyo?
 
DUUH!Safi sana mkuu,una moyo wa pekee sana
 
Ma dr wako jamani..? Kwa majib ya jambo langu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…