Msaada wa figo.

Msaada wa figo.

zeck 9t

New Member
Joined
Jul 21, 2018
Posts
4
Reaction score
1
Habari ndugu wanajamii forums mie ni mgeni humu ila nashukuru kwa topic zenu. Shida yangu kubwa ni kutaka kujua kama endapo mtu unaamua kujitolea msaada figo kwa wagonjwa wenye tatizo, hata kama sio ndugu yako je unatakiwa ufate taratibu gani ili kuwapata walengwa na inawezekana kufanya hivyo? Na athari zake ni zipi pindi ufanyapo hivyo?
 
DUUH!Safi sana mkuu,una moyo wa pekee sana
 
Hiyo hapo chini
 

Attachments

  • 25146074cd5pricelist6.jpg
    25146074cd5pricelist6.jpg
    34.9 KB · Views: 38
Ma dr wako jamani..? Kwa majib ya jambo langu?
 
Back
Top Bottom