Msaada wa final year project title kwa bachelor degrees

Msaada wa final year project title kwa bachelor degrees

Nilipokuwa chuo X hapo. Wanafunzi wenzangu wengi walikuwa katika njia moja kama hii uliyochukua. Kulikuwa na system mbili nadhani za kusimamia taarifa za daktari na mgonjwa nakumbuka, kulikuwa na system za kufanya management za wanafunzi mashuleni, na kiujumla kulikuwa na management systems everywhere.

Katika kutafuta Final Year Projects binafsi haikuwa ngumu kabisa. Kwanza nilitazama vitu ninavyopenda,

1. ninapenda technology
2. ninapenda design na animation
3. ninapenda project zinazolenga watoto.

Nilianzia hapo, nikaangalia mambo yanayonizunguka katika maeneo yanayonivutia na nikaona tatizo kubwa sana katika elimu ya watoto, hasa primary. Tulianza kufanya research mwanzoni za matatizo na niliona shocking statistics za wanafunzi wa primary. Almost 50% wanafeli, almost 40% madarasa ya chini (la 4, 5, 6, 7) hawawezi kufanya hesabu za darasa la pili au kusoma hadithi za darasa la pili. Na nilikua genuinly shocked na some of the statistics na nikajua moja kwa moja nitajikita huko.

Baada ya kufikiria kidogo niliona tatizo ni kubwa na nikajikita katika somo la hisabati kwa kuanzia. Na nikaamua kufanya simple math games kwa watoto. Wanafunzi wenzangu kama nilivyokwambia, management systems zilikua nyingi sana, na nilipata hofu kidogo kama hili wazo lingekubalika ila long story short nilipewa tuzo ya project bora ya pili chuoni hapo na prototype ilifanikiwa kuonekana sabasaba pia.

Mpaka leo sehemu ya hobby yangu ni kufanya project zinazolenga eneo hilo maana hakuna kabisa solution za kutosha.

Kwa hiyo nakushauri, angalia beyond just the project title, angalia beyond just having a system. Na hopefully kwa experience yangu hii labda kuna idea unaweza kupata. Good luck
Yote Tisa kumi umeniongezea ufikiri nashukuru mkuu nadhan ngoja nijikite katika hii game na bila Shaka kwakuwa Ni ya kujifunzia inaeza hata ikawa 2D
 
Ahsante mkuu. ..pia hiyo inatokana na chuo pia...chuo chetu gamers tupo Sana tu, lakn mpaka Sasa project za Aina hiyo zinakataliwa, sjui shida Nini , hapa washkaji wengi wanapiga systems ,Arduino, na AI Sio kwamba wanapenda , hapana ila Ni kwasabab zinakataliwa....pia Kama una idea naomba unisaidie nkapeleke hata ya game nipo vema katika kuzitumia unity engine na language ambayo huwa na kodia ni c harsh
Namna ya kuwasilisha suluhisho pia labda ni changamoto. Maana hata mimi project hiyo niliyofanya kuna ugumu ulikuwepo mwanzo lakini baada ya kuiwasilisha na kuonyesha uhalisia wa tatizo lenyewe na ukosefu wa suluhisho na pia namna tatizo linavyoongezeka mwaka kwa mwaka, kila mmoja alikuwa sold. Ni tatizo halisi na suluhisho ni halisia sio tu kwa ajili ya kupata degree.

Nashauri kuangalia katika upande wa elimu, na haswa watoto. But hey, that's me.

I'm glad if some of these gave you light.
 
Sasa Kama mtaalam anashindwaje kujua kuwa management systems kwa nchi yetu Ni Bora kuliko gadgets na nyinginezo,...anashindwaje kujua kuwa anavyovitaka yeye vipo ila vinapigwa chini, hamuoni kipanya
Management Information Systems ambazo zinafanya CRUD zimeshafanyika mara nyingi sana toka late 2000s, hakuna kipya utakachokuwa unafanya ndio maana mtaalamu happ amekuambia hivyo.

Kama unafanya dissertation kwa ajili ya kupata Degree lazima utapitia wakati mgumu sana.

Njia sahihi ya kutengeneza title yako ni kuangalia hali halisi ya mazingira yako, kusoma tafiti zilizofanywa kwenye tatizo uliloliona kwenye mazingira yako na kulitetea kupitia maandiko ya tafiti nyingine.

Lazima uangalie kama eneo unalotaka kufanyia utafiti limekuwa na tafiti za kutosha hivi karibuni na umuhimu wa hizo tafiti (recency / relevance).

Huyo lecturer anachotaka mfanye ni sahihi kutokana na maelezo yako kwamba tayari kuna mfumo unaotumika locally, bila shaka hata hospitali nyingine zina mifumo yake inayotumika, na si rahisi kuiondoa hiyo mifumo ili uwekwe mfumo mmoja. Kinachokosekana sasa ni njia ya kufanya hiyo mifumo iweze kubadilishana taarifa za mgonjwa kwa usalama. Kuna taratibu za kuhifadhi na kutuma taarifa za mgonjwa unaweza ukasoma HIPPA kwa kuanzia. Keywords za title yako bila shaka zitakuwa kwenye cloud computing, health data sharing, APIs etc.


Kama ungefanya huo utafiti na kuja na njia ya kufanya hiyo mifumo iongee na kubadilishana taarifa ( data synchronization) ingekuwa na mchango mkubwa sana kuliko kutengeneza tu mfumo mwingine wa kuhifadhi na kuchakata taarifa za mgonjwa ambayo imekuwa ikitengenezwa kwa kipindi kirefu.
 
Namna ya kuwasilisha suluhisho pia labda ni changamoto. Maana hata mimi project hiyo niliyofanya kuna ugumu ulikuwepo mwanzo lakini baada ya kuiwasilisha na kuonyesha uhalisia wa tatizo lenyewe na ukosefu wa suluhisho na pia namna tatizo linavyoongezeka mwaka kwa mwaka, kila mmoja alikuwa sold. Ni tatizo halisi na suluhisho ni halisia sio tu kwa ajili ya kupata degree.

Nashauri kuangalia katika upande wa elimu, na haswa watoto. But hey, that's me.

I'm glad if some of these gave you light.

Namna ya kuwasilisha suluhisho pia labda ni changamoto. Maana hata mimi project hiyo niliyofanya kuna ugumu ulikuwepo mwanzo lakini baada ya kuiwasilisha na kuonyesha uhalisia wa tatizo lenyewe na ukosefu wa suluhisho na pia namna tatizo linavyoongezeka mwaka kwa mwaka, kila mmoja alikuwa sold. Ni tatizo halisi na suluhisho ni halisia sio tu kwa ajili ya kupata degree.

Nashauri kuangalia katika upande wa elimu, na haswa watoto. But hey, that's me.

I'm glad if some of these gave you light.
Kwa kias kikubwa umensaidia na ntatoa mrejesho
 
Management Information Systems ambazo zinafanya CRUD zimeshafanyika mara nyingi sana toka late 2000s, hakuna kipya utakachokuwa unafanya ndio maana mtaalamu happ amekuambia hivyo.

Kama unafanya dissertation kwa ajili ya kupata Degree lazima utapitia wakati mgumu sana.

Njia sahihi ya kutengeneza title yako ni kuangalia hali halisi ya mazingira yako, kusoma tafiti zilizofanywa kwenye tatizo uliloliona kwenye mazingira yako na kulitetea kupitia maandiko ya tafiti nyingine.

Lazima uangalie kama eneo unalotaka kufanyia utafiti limekuwa na tafiti za kutosha hivi karibuni na umuhimu wa hizo tafiti (recency / relevance).

Huyo lecturer anachotaka mfanye ni sahihi kutokana na maelezo yako kwamba tayari kuna mfumo unaotumika locally, bila shaka hata hospitali nyingine zina mifumo yake inayotumika, na si rahisi kuiondoa hiyo mifumo ili uwekwe mfumo mmoja. Kinachokosekana sasa ni njia ya kufanya hiyo mifumo iweze kubadilishana taarifa za mgonjwa kwa usalama. Kuna taratibu za kuhifadhi na kutuma taarifa za mgonjwa unaweza ukasoma HIPPA kwa kuanzia. Keywords za title yako bila shaka zitakuwa kwenye cloud computing, health data sharing, APIs etc.


Kama ungefanya huo utafiti na kuja na njia ya kufanya hiyo mifumo iongee na kubadilishana taarifa ( data synchronization) ingekuwa na mchango mkubwa sana kuliko kutengeneza tu mfumo mwingine wa kuhifadhi na kuchakata taarifa za mgonjwa ambayo imekuwa ikitengenezwa kwa kipindi kirefu.
Umepita mule mule ...kuintergrate Ni kitu Cha kawaida ila Ni ghali kwa mtu kusucrifice pesa na muda kisa degree , inawezeka kuintergrate na NHIF, au nyingine yyte Ile ,

Shida Ni kuwa title ilisha pita na tukawa tunawaza system requirement ,design na implementation , ila wakatuchomolea ....nnakuelewa Sana mkuu tatzo muda uliopo na gharama zake ...now najikita katka gaming Kama nilivosaidiwa na chiz hapo juu
 
Umepita mule mule ...kuintergrate Ni kitu Cha kawaida ila Ni ghali kwa mtu kusucrifice pesa na muda kisa degree , inawezeka kuintergrate na NHIF, au nyingine yyte Ile ,

Shida Ni kuwa title ilisha pita na tukawa tunawaza system requirement ,design na implementation , ila wakatuchomolea ....nnakuelewa Sana mkuu tatzo muda uliopo na gharama zake ...now najikita katka gaming Kama nilivosaidiwa na chiz hapo juu
Hakuna gharama ya ziada katika kuonyesha jinsi ambavyo hiyo mifumo inaweza kubadilishana taarifa, ingewezekana hata kutengeneza prototype ndogo tu kuonyesha jinsi ambavyo taarifa zingekuwa zinatumwa kati ya mifumo miwili au zaidi iliyopo katika network tofauti.

Kama una muda ungesoma kidogo hii kazi niliyo-attach hapa.
 

Attachments

Naombeni msaada.....nasoma chuo X hapa tz , Ni finalist na nnatakiwa kufanya final year project ili niwe awarded degree ya computer science....

Changamoto ipo hivi , tulipebdekeza project title nyingi Sana na baadae moja ikapita,

Title ilikuwa chronic desease management information systems (CDMIS).
Lengo Ni ku keep record za Hawa watu, na system ilipangwa kuwa na 5 users dactari,system administrator, madijala, pharmacist,na mgonjwa mwenyew.... Tulipanga kuintergrate na sms ili mgonjwa awe anapata sms za kumjumbusha mda wa kunywa sawa, kuhudhulia clinic na kubeba dawa na kadhalika , mgonjwa atakuwa na ID namba itayomtambulisha popote , na akienda hospital atataja namba na atapata huduma, baada ya kuhudumiwa dactar ataongeza taarifa za mgonjwa na atasevu tareh na Nini kamhudumia kwa siku hiyo, na Kama mgonjwa ataenda kutibiwa na hospital nyingine atataja namba tu na dactar anaweza Ina taarifa za mgonjwa na background ya kimatibabu,

System administrator anasajili madactar na wahudumu wengine katika system, dactar Ni mtu wa huduma tu na kuongeza vitu ambavo mgonjwa kahudumiwa katika siku husika, madijala anasajili wagonjwa , pharmacist Ni mtu wa madawa na anagawa dawa kutokana na maagizo ya dactar,


Gap...
Kuna GOTHOMIS ambayo inaoperate in a local area na single hospital na Ni too general sis tumespecify...huko mgonjwa atasajili upya Kila hospital...

Katika mfumo wetu tunaangazia kuwa na shared database katika hospital zote , means that the system is distributed although it doesn't have all characteristics....system hii tulitoa maelezo mengi Zaid ya haya katika ku defend title na ikapita....then tukapewa supervisor wetu kwaajili ya kutuongoza

Supervisor akasema haielew title hivo tutafte title nyingine...alipoulizwa how will you make your system distributed tulimjibu kwamba cloud computing Ina service tatu ambazo Ni infrastructure as a service,platform as a service na software as a service.,..sis tutahost system yetu katika cloud severs Kama digital ocean na nyinginezo kwa ajili ya presentation na demonstration...na kwakuwa huko Kuna network of servers our system will be distributed...ticha kaikataa kasema totengeneze distributed system kwa gharama zetu wenyew ,na tuwe na server Zaid ya moja na to show how data are synchronized, kwa gharama za hii idea yake sisi hatuwez Ni Bora wabaki tu na degree yangu, tukamuuliza tufanyaje ili iwe unavotaka ,na tupite njia zipi kasema hajui hata yeye,....ukumbuke supervisor Ni mtu wa kutuelekeza na sio kukomoa Kwan nae anacredit tukifanikiwa hapa, ...akasema kuwa distributed kwa kuihost tu cloud hautoshi kutupa degree hivo tutafte complex system Zaid ya hii...kasema ni very simple ila hajui tumeumizwa kichwa kias gan mbaka imekuwa nyepes hivi kwa maelezo,...ko katukataa na tukiomba kubadilishiwa supervisor ttaonekana niyeyusho na ttakuwa tmejipalia Moto ,Kila title tunayompelekea anakataa na Sasa tunakaribia proposal presentation ili tupate go ahead ya kufanya project....akili umechoka Sana na Sina title nyingine....

Huenda ticha Hana lengo baya ila nimekwama hapo wakuu...yeyote mwenye idea msaada mwenye title kali ya system anisaidie namba yangu Ni....naombeni msaada wa hii kitu wanajamvi degree naikosa na nmepambana Sana had hapa....wahadha salaa
Na hapo ukifanya mchezo unarudi mwakani.


Mfanye supervisor Kama rafiki.

Lasivyo jiandae kurudi mwakani :-😀
 
Hakuna gharama ya ziada katika kuonyesha jinsi ambavyo hiyo mifumo inaweza kubadilishana taarifa, ingewezekana hata kutengeneza prototype ndogo tu kuonyesha jinsi ambavyo taarifa zingekuwa zinatumwa kati ya mifumo miwili au zaidi iliyopo katika network tofauti.

Kama una muda ungesoma kidogo hii kazi niliyo-attach hapa.
File corrupted ,inaeza ituma tena
 
Ahsante mkuu. ..pia hiyo inatokana na chuo pia...chuo chetu gamers tupo Sana tu, lakn mpaka Sasa project za Aina hiyo zinakataliwa, sjui shida Nini , hapa washkaji wengi wanapiga systems ,Arduino, na AI Sio kwamba wanapenda , hapana ila Ni kwasabab zinakataliwa....pia Kama una idea naomba unisaidie nkapeleke hata ya game nipo vema katika kuzitumia unity engine na language ambayo huwa na kodia ni c harsh
Hiki chuo x kwa hizi descriptions kitakuwa tu Mtakatifu Yusufu...
 
Fanya system ambayo auto traffic control kulingana na foleni za barabara kadhaa. Kusanya data kutoka multiple road then fanya traffic control toka kwenye server

Nyingine ni system ya watu kuita mwendokasi na automatically inafanya aggregation na kumpa controller wapi watu wengi wanahitaji gari.

Simple enough
 
Zote mbili zilifanyika mwaka Jana
Fanya system ambayo auto traffic control kulingana na foleni za barabara kadhaa. Kusanya data kutoka multiple road then fanya traffic control toka kwenye server

Nyingine ni system ya watu kuita mwendokasi na automatically inafanya aggregation na kumpa controller wapi watu wengi wanahitaji gari.

Simple enough
 
Zote mbili zilifanyika mwaka Jana
Project mpya kabisa haipo duniani. Chukua hizo zilizofanyika, angalia mapungufu then perfect ndio iwe project yako. Unless yout instructors are total morons which I doubt, they can't refuse it.

Project inapoma ufahamu na uwezo wa kutumia ufahamu huo. Ukijazia significant part ambayo ita demonstrate matumizi ya ufahamu utapita tu...
 
Back
Top Bottom