Msaada wa fundi: Toyota Runx inabugia mafuta

Msaada wa fundi: Toyota Runx inabugia mafuta

Hivi wanavyosemaga engine kizidi 150k km inabidi uweke 20w-50 hii imekaaje?
kuna post nyingi za watu kulalamika ulaji wa mafuta baada ya kuweka oil ya 20W50,

nikushauri tu kabla ya kufanya mengine ibadili weka recommended castrol 5W30 sythetic

achana na maneno ya wauzaji maana mtengenezaji wa gari hakuna mahali amesema ikifikisha km 150k+ uweke 20W50
 
kuna post nyingi za watu kulalamika ulaji wa mafuta baada ya kuweka oil ya 20W50,

nikushauri tu kabla ya kufanya mengine ibadili weka recommended castrol 5W30 sythetic

achana na maneno ya wauzaji maana mtengenezaji wa gari hakuna mahali amesema ikifikisha km 150k+ uweke 20W50
Aisee, basi mafundi wengi wa kibongo wanabahatisha na kuishi kimazoea
 
Hivi wanavyosemaga engine kizidi 150k km inabidi uweke 20w-50 hii imekaaje?
Weka recomended engine oil, mie yangu natembelea 700km kila wiki ilibidi ninunue tu passo inakula 18km p lt. Service ilopita nlifanyiwa uhuni wakaniwekea oil ya kupima ilianza kula 15kml nimebadili oil imerudi normal
 
Weka recomended engine oil, mie yangu natembelea 700km kila wiki ilibidi ninunue tu passo inakula 18km p lt. Service ilopita nlifanyiwa uhuni wakaniwekea oil ya kupima ilianza kula 15kml nimebadili oil imerudi normal
Duuh!
 
Wakuu kwema,

Kuna Toyota Runx nimenunua mkononi yapata mwezi mmoja sasa. Ila ulaji wake wa mafuta unanitisha sana.

First time nimeweka mafuta full tank, ila baada ya km 143 tank likafika nusu kasoro bar 2 nikajazia lita 20 ili iwe full.

Second time nimeenda km 192 tank likaenda bar moja chini ya half tank, kujaza tena ili iwe full tank nimeweka lita 30.

Mara ya kwanza nilikua natumia full AC mara ya pili AC nilikua natumia occasionally kutokana na hizi mvua.

Ukiangalia haraka ni kama 6.5-7km/l hata kama ni hizi foleni za Dar mbona huu ulaji naona unatisha? Natoka tabata to mjini around km 13/14 kwenda na kurudi asubuhi na jioni.

Important details ninazokumbuka;

1. Ina km 180904

2. cc1490

3. Oil nikibadili baada ya kununua (20w-50), muuzaji aliniambia ninunue hii kwa sababu engine ina zaidi ya km 150k

4. Nilibadili plugs zote 4 ila sikuangalia specifications ( jumla ilikua 60k)

Please msaada, nifanye nini iwe na ulaji angalau 12km/L kwa hizi foleni za Dar. Kama kuna mtu anaweza ku recommend garage/fundi mzuri wa hili tatizo msaada please.
Habari mkuu vipi bado gari yako inachangamoto
 
Hili nalo jaribu kucheki kwa gari yako weka oil ya continental ama castro 5w30 thinthetic oil ina bei kidogo nafikiri nilf 25 ama 30 kwa lita
Kwa hakika ni oil,haijawekwa recommended!Mafundi wetu Hawa wamekariri kwa kuweka oil nzito ya 20w50 kitu ambacho kinasababisha oil kutoflow vizuri kwenye parts za engine...
Jana usiku nimekesha nikireview hizi oil!
Yaani nimehamia na Mimi muda Si mrefu naenda kuweka 5w30 .Mi mwenyewe mafundi wangu wamekuwa wakirecomend Hiyo 20w50 which is wrong.na point Yao kubwa eti bongo ni joto
 
Kwa hakika ni oil,haijawekwa recommended!Mafundi wetu Hawa wamekariri kwa kuweka oil nzito ya 20w50 kitu ambacho kinasababisha oil kutoflow vizuri kwenye parts za engine...
Jana usiku nimekesha nikireview hizi oil!
Yaani nimehamia na Mimi muda Si mrefu naenda kuweka 5w30 .Mi mwenyewe mafundi wangu wamekuwa wakirecomend Hiyo 20w50 which is wrong.na point Yao kubwa eti bongo ni joto
Tuna mafundi wajinga wajinga sana.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Nozzle za gari ya petrol huwa zinatumia umeme kurusha mafuta so fundi huwa wanaziwekajeje sijui kwenye betri zinamwaga mvuke wa mafuta, ukiona inamwaga mafuta maana imekufa hiyo, kucheki coil ni rahisi unawasha gari unakuwa unatoa coil moja moja kuna namna coil ukiitoa gari haibadili muungurumo, maana yake hiyo coil mbovu
Kama ujiyoa koil gati haibadili mlio.Ni ishara ya kwanza kwamba nozzle ni mbovu.Ila kama nozzle ni nzima,ukitoa coil na isipobadili mlio hapo sasa ndo unaweza kusema coil ni mbovu
 
Km zote hizo? Gari ishachoka aliyeuza sio mjinga!
Gari inachokaje mkuu watu wanamagari yana 200k+ km ila matengenezo na nini ufanye kwa wakati gani ndio inatathmini hali ya gari lako. Cha kumshauri kwanza awe na manual ya gari husika aangalie ni service gani inahitajika au ni kifaa gani cha kubadili kwa km zilizopo na muda mwingine hata ukanyagaji wa mfuta nao unachangia (udereva wako)
 
Kwa hakika ni oil,haijawekwa recommended!Mafundi wetu Hawa wamekariri kwa kuweka oil nzito ya 20w50 kitu ambacho kinasababisha oil kutoflow vizuri kwenye parts za engine...
Jana usiku nimekesha nikireview hizi oil!
Yaani nimehamia na Mimi muda Si mrefu naenda kuweka 5w30 .Mi mwenyewe mafundi wangu wamekuwa wakirecomend Hiyo 20w50 which is wrong.na point Yao kubwa eti bongo ni joto
Tena wengine husema oil ni oil tu. Hapo unakuta anauza pia hizo za 15w40 au 20w50. 😁
 
Back
Top Bottom